PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
CHADEMA kufa chini ya Lisu na Heche hakuhitaji nabii kusema kitakufa ni kitu cha uhakika

Hawajui siasa kitakufa.Waona mbali ndio maana wanatimka
Wakati mwingine tuwe serious, kitakufaje wakati CCM wanaogopa kama nini ndo maana wanatumia hila mbaya za kila aina ili kufifisha nguvu zake lakini hawawezi.
 
John Heche

Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.

View attachment 3332945
Ndo ukweli wenyewe, msajili anaona tu ya chadema ila ccm haoni.

Niliwahi andika hapa jf kumtaka msajiri kukifuta chama cha ccm ,moderator ,pandisha huzi huu tafadhali.

Msajili anatakiwa acha wenge .basi akifute chama cha chadema
 
Hi ni muvi ambayo wengi hamuijui ilivyochezwa ccm na msajili,mimi ninavyoona 1 .kwanza wamewashawishi wenyeviti wengi wa mikoa na majimbo wa chadema ambao ni wajumbe wa kamati kuu na mkutano Mkuu taifa kujivua uongozi. 2.kwa kuwa hao ndio wafanya maamuzi hawak wauwepo na kwa waliopo Akidi haitoshi hivyo itahitaji uteuzi mpya wa wajumbe kwa hiyo ccm itakuwa imebuy time kwa kuiweka Chadema busy kushughulikia matatizo yao ya ndani. 3.Baada ya jana kujua tageti yao inaenda ulaya kama katibu msaidi wakimtumbua akiwa huko haitafanikiwa vizuri maana atafikisha ujumbe ambao hawakutaka ufike na huku wameona kwa kupitia msajili kama dola ikilalamikiwa kwa uamuzi wa kumkamata golugwa basi msajili nae atumie kete yake kuchafua kwa kumpaka matope,ili isionekane ameonewa.
 
Mwalimu Nyerere sijui aliona Nini akawajaza jeshini hawa vijana kutoka mkoa wa mara.
 
Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
kasura kako kazuri sana ,hakaendani na mawazo yako au ni mtoto huyu vipi asemavyo nabii lema
 
stress ni kitu mbaya sana aise,
kuropoka kilofa namna hii ndio kunasababisha kila moja anakimbia.

eti huo uropokaji wa huyo kibaka lofa ndio msimamo wa chadema nchi nzima :pedroP:
Mwanamke kawazidi akili na mipini yenu kachukua fomu pekee yake hakuna aliyesimama halafu unahoji nini.
 
Mwanamke kawazidi akili na mipini yenu kachukua fomu pekee yake hakuna aliyesimama halafu unahoji nini.
Calm down gentleman, uspanic,

hiyo ndio changamoto ya kuongozwa na kiongozi mropokaji halafu lofa kama heche.
Lazma uwe mtu wa mihemko tu bila hoja 🐒
.
 
Mkutano mkuu wa CCM ndio kikao kikuu cha maamuzi yeyote akidi ilitimia baraza kuu fanya maamuzi hicho chenu cha baraza kuu kilikuwa halali kabisa ila akidi ya kuwapitisha hao wajumbe wenu haikutimia.

Itisheni baraza kuu akidi itimie kisha pitisheni wawe hao hao au wengine wapya hayo ya kwenu
Waliteuliwa wakati wa uchaguzi wa mwenyekiti, makamu mwenyekiti na sekretarieti ya CDM, atuambie nani hakuwepo wakati ule wa uchaguzi, muache chokochoko CDM ya Lissu na Heche imewashika vibaya.

Haya na Katibu mkuu wa CDM kavunja Sheria gani ya nchi? Njoo na utetezi wako
 
Ile kesi dhidi ya uteuzi huko CCM maamuzi ya msajili ni lini?
 
Huyo msajili asijipendekeze, Chadema wangetaka amtambue Mnyika wangempelekea kumtambulisha ....ila hayamhusu
 
Back
Top Bottom