peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,642
- 27,459
Uongozi wa Chadema imeundwa na TLS! Kwa hiyo Msajili anajua sheria kuliko wasomi walioko TLS ,wanao iongoza Chadema?
Msajili ajitafakari sana,hii ni Dunia!
Mkiendelea na Tabia hii, CDM itazalisha M23 ,tutaelekea kubaya sana!
Msajili ajitafakari sana,hii ni Dunia!
Mkiendelea na Tabia hii, CDM itazalisha M23 ,tutaelekea kubaya sana!