PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Msajili kasema itisheni baraza akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche acha kupotosha.Usimlishe msajili ambayo hakusema

Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
Kwa hiyo unamaanasha CHADEMA hawana wanasheria.
 
We pata picha ndo anakuwa makamu wa rais nchi ipo mikononi mwake itakuwaje!
Nyerere alishasema ikulu ni mahali patakatifu ..
Watu kama hao huwezi kuwaachia ukawapa nchi ni watawatumbukiza shimoni vizuri kuwaacha wawe wapiga kelele tu .
Kweli kabisa ndugu
 
We pata picha ndo anakuwa makamu wa rais nchi ipo mikononi mwake itakuwaje!
Nyerere alishasema ikulu ni mahali patakatifu ..
Watu kama hao huwezi kuwaachia ukawapa nchi ni watawatumbukiza shimoni vizuri kuwaacha wawe wapiga kelele tu .
Kwa ivo Katiba ya nchi yetu ni ya hovyo kiasi hicho kwamba mtu anaweza kufanya maamuzi ya hatari ya kuitumbukiza nchi kusikojulikana halafu kuwe hakuna jinsi ya kumzuia?

Ndiyo maana tunataka marekebisho ya Katiba.

NO REFORMS NO ELECTION!!
 
Back
Top Bottom