PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Kikifutwa ndio watu na mawazo yao wamefutwa?

Kwani TAA na TANU vipo?

Akina Pius Msekwa, Steven Wasira si walikuwa na kadi za TANU saa hizi wanazo za CCM!

Utafuta chama ila upinzani upo pale pale ukifuta huku wanakuja kwa namna nyingine.
 
Mkutano ndio wenye mamlaka yote na vikao vyote waweza amua lolote na baraza lenu kuu ndio mamlaka ya mwisho kuamua chochote

Cha msingi akidi itimie .Msajili hapo anachowadai ni akidi kutimia

Anajua kikao chenu cha baraza kuu ndicho kikao cha juu kabisa kama kilivyo cha CCM

Tatizo liko kwenye Akidi.Itisheni kikao cha baraza kuu amueni chochote kitakuwa halali hata kama huko chini hiyo agenda haikuwepo kitakuwa halali

Akidi isipotimia maamuzi yote yanakuwa feki iwe uteuzi wa wajumbe kamati kuu au chochote. Hiyo ndio meseji msajili kawaambia in a very polite but serious language
Itisheni baraza kuu na mhakikishe akidi inatimia hizo porojo zenu mnapoteza muda muda sio rafiki

Mtakuja jikuta munekuwa suprised CHADEMA imefutiwa usajili

Tukiwashauri muwe mnaelewa kama huko CHADEMA hamna waelewa
Hayo ni mambo ya ndan ya chama
 
Toolate Bunge lote la Ulaya na UK wanajua kinachoendelea.

Bunge la ulaya na EU wakiona hii Wana vurugwa... Nchi haifungamani na upande wowote.

Screenshot_20250512-170207_Instagram.jpg
 
Ushauri wako mbovu
Msajili kasema itisheni baraza kuu akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche aache kupotosha msajili ambayo hakusema

Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe

Acheni mihemko itisheni kikao cha baraza kuu.

Msipoitisha kitafutwa kweli
Kuna kesi iko mahakamani ya CCM jamaa wa Moshi mbona msajiri alikua kimya
 
Msajili kasema itisheni baraza akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche acha kupotosha.Usimlishe msajili ambayo hakusema

Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
vip wakat mama anajiteua huko taratibu zilifuatwa?Naomba tu kuelimishwa
 
Kweli CHADEMA kwisha kazi, waache wagawane mbao. Tuliwaambia wamepa UWENYEKITI Lissu mropokaji na u-Makamu Heche mtu wa jazba.
CHADEMA kufa chini ya Lisu na Heche hakuhitaji nabii kusema kitakufa ni kitu cha uhakika

Hawajui siasa kitakufa.Waona mbali ndio maana wanatimka
 
Ushauri wako mbovu
Msajili kasema itisheni baraza kuu akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche aache kupotosha msajili ambayo hakusema

Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe

Acheni mihemko itisheni kikao cha baraza kuu.

Msipoitisha kitafutwa kweli
Wenyewe wameshaona chama hakuna faida tena, wanatafuta Sababu za kuilaumu CCM. Chama kisichoshiriki uchaguzi kina faida gani kwa viongozi na wanachama wake?
 
Mheshimiwa John Heche, Makamu Mwenyekiti, kwa hali ilivyo sasa, naomba tusikate tamaa hata kidogo. Tupigane kiume mpaka tone la mwisho. Hata Mungu huwa anaibuka kumsaidia mtu pale anapokuwa amepambana kwanza kwa uwezo wake wote na hana tena uwezo mwingine zaidi ya pale. Kama ni njia ya kuelekea kwenye ukombozi kamili wa Nchi hii, haya waliyoyafanya ni madogo sana, bado watafanya uchafu wa kutisha zaidi huko mbeleni. Lakini tusikate tamaa, kwani hiyo ndo njia ya ukombozi kamili wa Nchi hii.

Naomba, kila uchafu wanaotufanyia uwe recorded kuanzia alipokamatwa Tundu Lissu na utumwe kwa:-
1. Taasisi zote za Dini pamoja na madhehebu yake yote ndani na nje ya Nchi bila kusahau kwa Balozi wa Papa Nchini.

2. Taasisi na Mashirika yote ya kitaifa, kikanda na kimataifa kama vile AU, EAC, SADC, Commonwealth, UN nk.

3. Nchi zote rafiki na Tanzania ambazo pia hutoa misaada yao hapa Nchini.

Haya mauchafu yote yataambatanishwa na petition na kupelekwa Umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na videos/audio za uchafu huo.

Hata kama watatusulubu namna gani tusikate tamaa. Wengine wakikamatwa, waliobaki waendelee na safari.

FREEDOM IS COMING TOMORROW.
 
Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Kikundi cha kikatoliki ni kikundi gani, hao mabwege wana njama na nchi hii. Wasipotimiza takwa la kisheria kifutwe kweli. Hicho inaonesha ni kikundi cha kihaini. Huo nyau ni sawa na mbwa kumbwekea tembo. Angekuwepo Magu asingepanua huo mdomo wake asingerudi ht nchini
 
Back
Top Bottom