Ukweli nilijua Heche amepevuka kua atafanya Siasa za kistaarabu na kuheshimu Katiba ya nchi na sheria zake kumbe nilikosea. Nimejiuliza kua CHADEMA tukichukua nchi si kila mtu atafanya anavyotaka maana akutakuwepo utii wa sheria kabisaJohn Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945
Ikiwa hivyo Si ndio safi na shangweKifupi Lisu na Heche wamepania kwa dhati kabisa kuua CHADEMA
Ndio maana waona mbali wameamua kuikimbia CHADEMA
Vip katiba yenu ya kumpitisha mgombea ilifuatwa na Kama haikufuatwa jaji alisemajeItisheni baraza kuu acheni kutishia nyau
Hii nchi wajinga mpo wengi sana , yaan msajili ana haki gan ya kuchagua viongoz wa Chama ? Hv ni swala la kusema mtu akigoma inabid ashikweHeche analazimisha kukamatwa sasa
Kwamba katiba anachaguliwa na msajili wa vyama , hv unajuwa wajibu wa msajili wa chama ?Sio ajabu kwa Heche kutoiona hatari ya kukaidi maagizo ya msajili. Ni kiongozi asieijua hata katiba ya chama chake. Alizoea kupelekeshwa na mawazo ya Lissu.
Ccm imeheshimu sheria zipiUkweli nilijua Heche amepevuka kua atafanya Siasa za kistaarabu na kuheshimu Katiba ya nchi na sheria zake kumbe nilikosea. Nimejiuliza kua CHADEMA tukichukua nchi si kila mtu atafanya anavyotaka maana akutakuwepo utii wa sheria kabisa
Mkutano ndio wenye mamlaka yote na vikao vyote waweza amua lolote na baraza lenu kuu ndio mamlaka ya mwisho kuamua chochoteVip katiba yenu ya kumpitisha mgombea ilifuatwa na Kama haikufuatwa jaji alisemaje
Na CCM kiwe cha cha nini kwa yanayoendelea inchini?John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945
Tatizo huna takoNatoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Kwann yafanyike yote hayo bila mwenyekiti wa chama?Ushauri wako mbovu
Msajili kasema itisheni baraza kuu akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche aache kupotosha msajili ambayo hakusema
Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
Acheni mihemko itisheni kikao cha baraza kuu.
Msipoitisha kitafutwa kweli
Tatizo lenu huwa hampendi kusikiliza kutoka kwenye chanzo cha kwanza. Mnabeba maneno ya Heche as if hamna vichwa. Tafuta taarifa ya msajili uiosome kwa lengo la kuelewa(sio kumaliza mistari).Kwamba katiba anachaguliwa na msajili wa vyama , hv unajuwa wajibu wa msajili wa chama ?
Hayo yenu msajili kasema tu baraza kuu liitishweKwann yafanyike yote hayo bila mwenyekiti wa chama?
Sawa akikamatwa atapelekwa mahakamani kwa charge gani mkuu?Heche analazimisha kukamatwa sasa
John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945
Bangi mbaya sanaJohn Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945