PreGE2025 Heche awataka wananchi kuunga mkono msimamo wa 'No Reforms No Election'

PreGE2025 Heche awataka wananchi kuunga mkono msimamo wa 'No Reforms No Election'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,488
Reaction score
14,879
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amewataka wananchi kuendelea kuwaunga mkono katika kuhakikisha yanafanyika mabadiliko ya sheria za uchaguzi, ili kufanya siasa safi na kushiriki uchaguzi ambao watapatikana viongozi bora na watakaoleta mabadiliko kwa taifa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara katika Jimbo la Kibamba, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kuendelea kunadi kampeni ya chama hicho ya hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi.

 
1744223577669.png
GoVzSnaXoAAIkkC.jpeg
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amewataka wananchi kuendelea kuwaunga mkono katika kuhakikisha yanafanyika mabadiliko ya sheria za uchaguzi, ili kufanya siasa safi na kushiriki uchaguzi ambao watapatikana viongozi bora na watakaoleta mabadiliko kwa taifa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Heche ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara katika Jimbo la Kibamba, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kuendelea kunadi kampeni ya chama hicho ya hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi.



Mkono tutawaunga. Ila orini na bara barani mtaingie wenyewe.

Allah. ... Posho watazokua wanazipata after kushika hatam watakula wenyewe.
 
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
 
Kwa ujumla agenda ya NO REFORM NO ELECTION, inaungwa mkono na watanzania wengi kwa sababu ni kampeni ya kuitafuta haki kutoka kwa watu dhulumati. Siku zote watu wanaoitafuta haki huwa wengi kuliko mashetani dhulumati, ndiyo maana unaona hata wanaCCM wengi wanaunga mkono agenda hii muhimu ya kupigania kuondoa sheria na kanuni dhulumati za kusimamaia uchaguzi.

Ramadhani ni shetani katika umbile la mwanadamu. Hakuna namna ya kuwafanya watu wema wamwunge mkono shetani, shetani atabakia na mashetani yake aliyoyatengeneza.
 
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
Idiot
 
Kuna taarifa kwamba Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chadema ameandaa kundi la vijana wakavamie Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu tarehe 24.4.2025. Baadhi ya vijana 105 amewalipia nauli kutoka Kanda ya Serengeti. Vijana wengine anawaandaa hapa Dar es salaam, Tetesi zinasema atawapa silaha.

Nashauri vyombo vya dola viwe mbele ya matukio kwa kumkamata na kumuhoji John Heche pamoja na Lemma.

Pia nashauri Mahakama iendeshe kesi hiyo kwa njia ya mtandao ili shughuli za jiji zisiingiliwe na wahuni
Hajandaaa kuvamia, ila ameomba wajitokeze kuonyesha support kwa mwenyekiti. Kuja tofauti kubwa ya kuvamia na kuonesha support mtu wao

Acheni ku twist narrative zenu
 
Wasikamatwe aachwe tuone kama kweli kuna mtu ataenda Kisutu au ni unafiki wa wanachama huko mitandaoni kujidai wako tayari kufa ila kwenye vitendo ni 0
 
Kwa nini JF moderator wanawapa nafasi sana nyie CCM kama baba yenu makala
 
Back
Top Bottom