Tusubiri ripoti ya CAG..... kama hatakua partisan na akawa mkweli kama ripoti yake ya mwaka huu basi watu watakua discouraged kuchangizwa. Lakini ikitokea matokeo chanya yameonekana, huku kukiwa na accountability kwa kila senti hapo tutatoa kwa moyo wote.Itachukua muda watu kuelewa fiada ya hizi tozo,
1. Huduma za jamii zitaboreshwa
2. Ajira mpya serikalini zitaongezeka
3. Mzunguko wa fedha utarejeshwa kwa wananchi kupitia mishahara/ ujenzi wenyewe / ajira / vibarua na manunuzi.
Uzuri Tozo hizi hazipelewi kujenga madarasa Sudani Kusini ni humuhumu nchini.
Itachukua muda watu kuelewa fiada ya hizi tozo,
1. Huduma za jamii zitaboreshwa
2. Ajira mpya serikalini zitaongezeka
3. Mzunguko wa fedha utarejeshwa kwa wananchi kupitia mishahara/ ujenzi wenyewe / ajira / vibarua na manunuzi.
4. Kutanuka kwa huduma za ziada usafirishaji / fedha (Banking / mobile money services)
Uzuri Tozo hizi hazipelewi kujenga madarasa Sudani Kusini ni humuhumu nchini.
Kwa mbali kabisa ,mama hajapora mtu fedha kwa kisingizio cha kukwepo kodi ,hakika kazi iendelee
Hivyo vituo vimejengwa wapi na wapi?
Mama mwenyewe alishakanya juu ya kumlinganisha na jpm. Haina afya kumshindanisha. Ila kama unataka mashindano sawa...jpm ana watu kaacha wafuasi kibao loyal..mziki wao hutauweza. Pambaneni na la chanjo kwanza sababu watu bado wanaamini mbinu za magu dhidi ya kovidi.RAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3.
_______________________
Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,
Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,
Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,
Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,
Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,
|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|
|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|
...Kazi iendelee ...
Yes, lazima tuwe positive mpango ni mzuri, ndani ya mwaka mmoja hakuna matokeo waondoe tozo, hatuwezi kupima mchango wa tozo ndani ya miezi miwili / mitatu.Tusubiri ripoti ya CAG..... kama hatakua partisan na akawa mkweli kama ripoti yake ya mwaka huu basi watu watakua discouraged kuchangizwa. Lakini ikitokea matokeo chanya yameonekana, huku kukiwa na accountability kwa kila senti hapo tutatoa kwa moyo wote.
Mama anafanya bila kelele,
Mama anupiga mwingi kimyakimya,
Aise kumbe mzee baba anafunikwa
Hakuna kitu hapo hizo ni swaga za mama na Waziri wake wa Fedha anaye fikri vyanzo vya mapato ni KWAKAMUA WANANCHI MWANZO MWISHO!!!RAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3.
_______________________
Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,
Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,
Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,
Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,
Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,
|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|
|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|
...Kazi iendelee ...
Samia ni mtu wa Mungu anamaanisha anachokisema
Nampenda sana Mama Samia,
Hafokifoki hovyo, cheki jana alivyodeal na Gwaji Boy,
Samia ni Mama kama Mama,
#Samia4presidency2025
Huyu Mama anapingo sana, Kama atakuwa makini wasimpige basi huenda akawa Rais wa mfano duniani,
2025 tunakula kwa Lissu tunalala kwa Mama,
Tozo siyo kupora kwani?Kwa mbali kabisa ,mama hajapora mtu fedha kwa kisingizio cha kukwepo kodi ,hakika kazi iendelee
Mama hakamatiki,Samia ni hazina kwa nchi hii,
Samia kura yangu 2025 chukua tu mama hakuna namna,
Usipende kufananisha watu... Hukuwa na ndege hata moja, hukuwa na miradi mikubwa kama ya SGR, BWAWA LA UMEMERAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3.
_______________________
Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,
Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,
Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,
Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,
Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,
|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|
|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|
...Kazi iendelee ...
Miradi mingi ya afya site zipo on, na hela znafika kwa wakati, vituo vya afya vikiwa vingi itakuwa rahisi kupata huduma za afya..and hence will rise our life expectancy... hongera sana MH. Raisi. KAZI IENDELEE ๐
Hata vyumba vya madarasa na madawati hakuna mtu ataenda kuchangishwa, watoto kukaa chini nk .RAIS MAGUFULI VITUO VYA AFYA 44 MIAKA 3 | RAIS SAMIA VITUO VYA AFYA 220 MIEZI 3.
_______________________
Ukisoma "Kitabu Cha Hali ya Uchumi Tanzania " cha mwaka 2018 ukurasa wa 60,utaona wakati Rais Kikwete anaondoka madarakani mwaka 2015 vituo vya afya vya serikali vilikuwa 507,Mpaka 2018|19 jumla ya Vituo vya afya vya serikali ilifikia 551 sawa na Ongezeko la Vituo vipya 44 ambazo ni 9% chini ya Hayati Rais Magufuli,
Kwakutumia tozo hizi za Kizalendo Rais Samia anajenga vituo vya afya vipya 220 kwa miezi mitatu ( 3 ) tu sawa na ongezeko la 43.4%,Nakwa lugha rahisi kabisa,Tunasema kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Samia kwa miezi mitatu ni X5 zaidi ya kasi ya Ujenzi wa vituo vya afya ya Rais Magufuli kwa miaka mitatu mfululizo,
Jumla ya vituo vyote vya Serikali vipya na alivyokarabati Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano vilifikia 487 ( soma Hotuba yake ya mwisho bungeni ukurasa wa 24 ),Hii inamaana gani, Rais Samia kwa muda wa miezi hii michache atajenga karibu nusu ya vituo vyote vilivyojengwa|kukarabatiwa na Hyt Rais Magufuli kwa miaka mitano aliyokaa madarakani,Mama anastahili pongezi kama kweli tunamwogopa Mungu,
Na kwa andiko hili,Itusaidie kutambua faida ya tozo kwenye kuwahudumia na kuwafikia kwa haraka watoto wa masikini wa nchi hii wanaokufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya hasa hasa akina Mama na Watoto huko vijijini,
Att |Isionekane napinga kazi nzuri ya Hyt Rais Magufuli hapana, ni katika kuangazia Mwanzo wao wote kwenye hili la vituo vya afya na Samia hakamatiki kwani namba hazidanganyi,
|[ Hili ndio Jibu la kwanini leo tozo na Sio zamani ]|
|WANAOULIZA RAIS SAMIA SULUHU ANATUPELEKA WAPI | HERE IS WHERE WE GO BRO'S & SISTERS KUWENI NA AMANI NCHI YENU IKO MIKONO SALAMA & SHUPAVU YA MAMA|
...Kazi iendelee ...
Only time will tell bro!!Samia ni mtu wa Mungu anamaanisha anachokisema