Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Huyu ansbert ngurumo ni ms_nge tu. Hapo inaonekana yuko huko ulaya. Eti anamuita musiba mhuni. Kwanza watu wajiulize ngurumo yuko kwa maslahi ya nani. Watanzania wanajua nani wako kwa maslahi ya wananchi na nani wanatumikia maslahi ya mabeberu.
Nitajie mmoja tu ambaye yupo kwa ajili ya maslahi ya wananchi.
 
Swala la ngurumo kuwa Ulaya siyo issue. Je anayoyasema kwenye video hii yana ukweli. Hilo ndiyo unatakiwa uyajadilli.
Hayana ukweli wowote, hizo ni hearsays tu, ni minong'ono ya kishabiki inayokuzwa na kuonekana ni habari yenye chanzo cha uhakika.
 
Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.
Mungu kaamua ugomvi
 
Watu buana

Kwani hamjui ya kuwa kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima siku moja atakufa?

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?

Tuache kuingilia kazi za Mungu

Lala salama mzee wetu Bernard Membe
Wanataka kujifanya watabiri
 
Huyo anayeongea anaonekana ana shida na Musiba ndio maana anamuita muhuni..angekuwa huyo bwana muhuni basi Membe asingekufa na wala wala maaskofu wasingetumwa kwa Membe kumuambia asamehe.
Kama unashindwa kuunganisha doti rahisi namna hii basi ni wazi kuwa wewe ni mpumbavu.
 
Watu buana

Kwani hamjui ya kuwa kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima siku moja atakufa?

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?

Tuache kuingilia kazi za Mungu

Lala salama mzee wetu Bernard Membe
Wakati huo huo huwa mnasema magu aliuliwa. Wapumbavu mpo wengi sana
 
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Na mimi nikiwa kama Mtanzania naomba kuuliza huyu Arsebert Ngurumo
1. Je yeye ni msemaji wa familia ya Hayati Bernard Membe au kwamba familia imemtuma aje kusema hayo anayoyasema?
2. Hayati Membe alikuwa anamwamini Daktari wake wa familia na ndio maana alikuwa akimutumia, je Arserbet Ngurumo kwa nini yeye ana wasiwasi na Dr wa Familia?
3. Kuna Watanzania walifariki mwaka 2020 na 2021
• Augustine P. Mahiga,
• Benjamin William Mkapa,
• John William Kijazi,
• Patrick Mfugale,
• Na yule Waziri wa Ulinzi Kwandikwa.
Je Arsebet alitoka hadharani akahoji vifo vyao ni natural death au vina mashaka aliuliza?

4. Arsebert Ngurumo kama hakuhoji vifo vya hawa, je hawa si Watanzania na taifa hili hawajalitumikia na kuacha alama?
 
Wapo wanaosema pia kwamba huyo wa awamu ya5 alisababishiwa
Mambo mengine tumwachie aliyetuumba tuu
Kwa yule wa Awamu ya 5 tumamshukuru Mungu au yeyeote aliyehusika. Kwa kweli hatumdai chochote. Asante kwa kuliondoa Dubwasha la Chato
 
Hilo kundi kwanini lisisaidie kuinasua hii nchi kutoka kwenye dimbwi la umasikini linalosababishwa na mafisadi wanaoitafuna hii nchii ambao wanazaliwa na kufa kila siku.
 
Well said na ndiyo maana ukiona mtu kwenye badala ya kutoa hoja anaanza personal attacks basi jua huyo ni ZERO BRAIN aka EMPTY SET.

Mambo aliyozungumza Ansbert kweli yanahitaji uchunguzi zaidi niliona Askofu Mwamakula aligusia Kukutwa kwa 3B kwenye account ya "Muhuni".
Mahaba hutia uziwi huyo mjomba wako anachofanya ni nini? Sio personal attacks?
 
Back
Top Bottom