hamada umelewa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 567
- 986
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;
Kazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake membe