Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Kazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake membe
 
Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.
Josephat isango alizingua nini wahuni wakampulizia sumu!?
 
Ngurumo ambacho inatakiwa atambue ni kwamba kila mtu ana upande wake.
-Kuna Sukuma gang na Msoga gang.
-Yeye yupo msoga gang ndio maana ameweza fanya scene ya membe kufa hakuweza kumuelezea magufuli.
-Hata angeeleza asingeeleza kwa utulivu kwasababu ni hasimu wao
-Leo hii hata Daktari wa familia ya membe anageukwa.
-Anataka kusema sukuma gang ina nguvu kulio msoga gang
-Kama anaushahidi wa hayo aende mahakamani magufuli sasa hayupo.
-Lazima akubali kwamba wazuri hawafi.

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Ngurumo ambacho inatakiwa atambue ni kwamba kila mtu ana upande wake.
-Kuna Sukuma gang na Msoga gang.
-Yeye yupo msoga gang ndio maana ameweza fanya scene ya membe kufa hakuweza kumuelezea magufuli.
-Hata angeeleza asingeeleza kwa utulivu kwasababu ni hasimu wao
-Leo hii hata Daktari wa familia ya membe anageukwa.
-Anataka kusema sukuma gang ina nguvu kulio msoga gang
-Kama anaushahidi wa hayo aende mahakamani magufuli sasa hayupo.
-Lazima akubali kwamba wazuri hawafi.

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Naam asiwe na wasiwasi wazuri hawafi
 
Ngurumo ni rafiki wa Membe? Hawa tungerudishwa 2014 huko huwezi kuamini ni hawa. Hawa waandishi wana mengi sana tukifikiri wazalendo kumbe wanatumikia watu. Kifo cha JPM hukuuliza maswali magumu ila hiki mnakuja na hadithi za abunuasi.
 
Hapo kwanza ncheke,sifa moja kuu ya marehemu Membe ilikuwa ni muongo sanaaa..
Hii jambo lilijificha kutokana na nyadhifa na vyeo alivyoshikilia.Hakuna mtu yeyote makini aliekuwa anamuamini Membe.
Kama huyu jamaa alikuwa na mawasiliano na marehemu na kumuamini basi atakuwa ni miongoni mwa wengi waliolishwa matango pori au basi walifanana tabia zao.
 
Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.
Kama imekuuma nenda kamfufue huyo membe
 
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Huyu asiwasumbue; huwa ni mzushi sana. Ana video nyingi zote za uzushi tu ili kuvutia views.
 
Back
Top Bottom