Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Eeh ndio huyo sasa in real worldha ha
Kwamba yule ndumilakuwili tuliyemsoma kwenye nahau za Kiswahili ndiye huyu tumemwona.
Eeh ndio huyo sasa in real worldha ha
Kwamba yule ndumilakuwili tuliyemsoma kwenye nahau za Kiswahili ndiye huyu tumemwona.
Wale ni wahuni kama wahuni wengine Mkuu. Na si ajabu,pengine, kuna namna walivyoshiriki kumuondoa mtu.Hivi ni lini tumewasikiliza kwa vinywa vyao wakikiri au kukanusha kumuombea Musiba msamaha kwa Membe? Namaanisha Malasusa na Pengo.
Jasusi bobevu lipuliziwe sumu? 😳😳Umemsikiliza vizuri? Yote hayo kayasema kwamba binadamu wote tutakufa ila kuna vifo vingine anasababisha yeye mwenyewe mwnadamu au anasababishiwa ,akatolea mfano Muandishi Josephat Isango alifariki watu wengi wanajua ni kifo cha kawaida tu kumbe ni kwamba alipuliziwa Sumu ikaenda kuharibu mapafu.....The same inavyoonekana kwa Membe.
Kuna matatizo makubwa sana katika kujadili hoja siku hizi.Endelea kujifariji ,kumbe ujumbe wa Zitto uliwauma sana naona kila mtu unamwambia ili mradi uone kama unalipiza ,mimi sijawahi kuwa mfuasi wa Membe.
Msingi wa hoja zake ameujenga kwa mashambulizi ya mtu binafsi tena kwa kumuita "Muhuni" atajibiwa accordingly.Kuna matatizo makubwa sana katika kujadili hoja siku hizi.
Hoja ya msingi yaweza isijadiliwe kukaanza mashambulizi binafsi kutokana na hisia juu ya mtu huyo.
Mie nilidhani watu wangepuuza mengine wakajihoji kuhusu issues zifuatazo hapo;
1. Imekuwaje kampuni ya udalali ya YONO kunyang'anywa leseni kabla haijatekeleza hukumu? Nani yuko nyuma ya hili?
2. Jee kuna ukweli wa fedha nyingi kukutwa a/c ya Dr Bashiru Kakulu na kuwa frozen? Kwa nini ziwe frozen? Kazitoa wapi na alishirikiana na nani kwenye wizi huo kama ni wizi? Una freeze fedha za mwizi halafu unamuacha kwenye utumishi wa umma?
3. Jee hayo mapesa na mali kuna uhusiano gani na yale ya BOT ambayo Rais aliagiza uchunguzi tena kwa kuunda tume lakini hakuna taarifa iliyotoka wazi bali imeacha tetesi zinazo mhusisha pia mtu mwenye nafasi nyeti sasa alipokuwa wizara ya Hazina.
4. Jee kweli hilo kundi alilosema bado lipo kumbe? Usalama wa viongozi wetu ukoje kama wanaweza kufanya lolote?
Ndiyo ya kujiuliza na kujadili kwa upendo sio kuendekeza chuki na visasi na kuwaacha wachache wanafaidi matunda ya nchi huku wakisoma JF na kutucheka tuu
Kazikwe nae.Tulie Upewe Undani cha nini kilitokea Kutoka kwa Ansbert Ngurumo.
Lakini sio kweli kuwa Musiba ni muhuni?Msingi wa hoja zake ameujenga kwa mashambulizi ya mtu binafsi tena kwa kumuita "Muhuni" na mwelekeo wa yote ndio muhusika wa kifo cha swaiba wake. Hivyo kwenye kujibu hoja lazima shambulizi binafsi lianze kabla ya kujibu hoja za tuhuma.
Jibu ni subjective inategemea upo upande gani...ni pro Msoga (Membe) au pro Jiwe. Kama muandishi mkongwe hakutakiwa kuwa bias ye angetupa fact akaacha kuegemea upande fulani. Tungechuja na kujadili hoja badala ya mtu.Lakini sio kweli kuwa Musiba ni muhuni?
Tuachane na hukumu au kigo cha Membe, katika hali ya kawaida sio muhuni?
Kuona siyo kula.Kila nafsi itaonja mauti
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;
Msingi wa hoja zake ameujenga kwa mashambulizi ya mtu binafsi tena kwa kumuita
Kazikwe nae.
Kuna matatizo makubwa sana katika kujadili hoja siku hizi.
Hoja ya msingi yaweza isijadiliwe kukaanza mashambulizi binafsi kutokana na hisia juu ya mtu huyo.
Mie nilidhani watu wangepuuza mengine wakajihoji kuhusu issues zifuatazo hapo;
1. Imekuwaje kampuni ya udalali ya YONO kunyang'anywa leseni kabla haijatekeleza hukumu? Nani yuko nyuma ya hili?
2. Jee kuna ukweli wa fedha nyingi kukutwa a/c ya Dr Bashiru Kakulu na kuwa frozen? Kwa nini ziwe frozen? Kazitoa wapi na alishirikiana na nani kwenye wizi huo kama ni wizi? Una freeze fedha za mwizi halafu unamuacha kwenye utumishi wa umma?
3. Jee hayo mapesa na mali kuna uhusiano gani na yale ya BOT ambayo Rais aliagiza uchunguzi tena kwa kuunda tume lakini hakuna taarifa iliyotoka wazi bali imeacha tetesi zinazo mhusisha pia mtu mwenye nafasi nyeti sasa alipokuwa wizara ya Hazina.
4. Jee kweli hilo kundi alilosema bado lipo kumbe? Usalama wa viongozi wetu ukoje kama wanaweza kufanya lolote?
Ndiyo ya kujiuliza na kujadili kwa upendo sio kuendekeza chuki na visasi na kuwaacha wachache wanafaidi matunda ya nchi huku wakisoma JF na kutucheka tuu
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;
Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;
Kelele zote hizo yupo Ulaya, yale yale ya mbwa koko anabweka akikimbilia mlangoni.Ngurumo ni mkatoliki na mwalimu wa kwaya,
Nilidhani angesinama na Mapadre kuwaasa wanasiasa kuwasikiza viongozi wa Dini na kusamehe bila kushinikiza au kubembelezwa, ameamua kulingana Hadi na daktari binafsi wa maembe.
Ama Kweli, pesa ni shina la UOVU!!!!
Aliwahi kuandika makala gazeti la Jamuhuri kuwa mwili wa marehemu Magu ulizungushwa maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Zanzibar na watu waliojitokeza mabarabarani kumlilia walikuwa wamelipwa!!!!Kelele zote hizo yupo Ulaya, yale yale ya mbwa koko anabweka akikimbilia mlangoni.
Mpuuzi huyu kama mwingine yoyote unayemfahamu.Aliwahi kuandika makala gazeti la Jamuhuri kuwa mwili wa marehemu Magu ulizungushwa maeneo mbalimbali nchini ikiwemo Zanzibar na watu waliojitokeza mabarabarani kumlilia walikuwa wamelipwa!!!!
Tangu siku Ile nilimshusha vyeo vyote!!!!