Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Kwa maelezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Vipi Mauzo ya Kitabu chenu Cha The State yanaendelea je 😂😂
 
Watu buana

Kwani hamjui ya kuwa kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima siku moja atakufa?

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?

Tuache kuingilia kazi za Mungu

Lala salama mzee wetu Bernard Membe

Mzee wetu Membe kwa kweli kalala, sasa swala la Kalalaje, kwa usalama, heri au kwa shari hakuna anayejua.
 
Endelea kujifariji ,kumbe ujumbe wa Zitto uliwauma sana naona kila mtu unamwambia ili mradi uone kama unalipiza ,mimi sijawahi kuwa mfuasi wa Membe.
🤣🤣 ulivyokuwa kichwa maji sasa Zitto ameingiaje hapo.kumbe wewe ni mfuasi wa zito machunusi ndio maana mnafanana akiliI
Screenshot_20230514-142551_YouTube.jpg
 
Watu buana

Kwani hamjui ya kuwa kila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke lazima siku moja atakufa?

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?

Tuache kuingilia kazi za Mungu

Lala salama mzee wetu Bernard Membe

Key word: KIBALI

NAKAZIA
 
Huyo anayeongea anaonekana ana shida na Musiba ndio maana anamuita muhuni..angekuwa huyo bwana muhuni basi Membe asingekufa na wala wala maaskofu wasingetumwa kwa Membe kumuambia asamehe.
Inaonekana unawaamini sana Maaskofu, kwamba hawawezi kushirikiana na wahuni. Uliwahi kufatilia mauji ya kimbari ya Rwanda? Hukubaini kuwa kuna viongozi wa dini walishirikiana vyema na Intarahamwe kutekeleza yale mauaji? Na je, Intarahamwe walikuwa wahuni au hawakuwa wahuni?

Kwa namna nyingine, zipo taarifa nyingi tu kuwa Maaskofu na Makadinali wa Italy na sehemu nyingine za dunia walikuwa na uhusiano wa karibu na 'genge la kihuni' la Mafia. Yule Benito Mussolini aliyeingia mkataba wa Lateran na Kanisa Katoliki mwaka 1922, yeye mwenyewe alikuwa mmoja wa hao wahuni. Hapo unasemaje?
 
Back
Top Bottom