Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Haya ni Mapya Nyuma ya Msiba wa Membe

Hamjui ya kuwa kila linalotokea yeye Mungu aliye muumbaji wetu ndio mwenye kibali cha kuruhusu kifo na kuhuisha?
Hapo ni kama utakuwa mtu wa karibu na Mungu (mcha wake) kwa moyo wako wote ndio shetani ataomba kibali. Vifo vingine ni vya shetani tu kama mtu upo upo sio moto wala baridi.

Ayu 1:12 SUV
BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yote aliyo nayo yamo katika uwezo wako; lakini usinyoshe mkono wako juu yake yeye mwenyewe. Basi Shetani akatoka mbele za uso wa BWANA.
 
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza

Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Msimulizi unajulikana mabaya yako na Hila zako kwa serikali ya awamu ya 5,
 
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;

Huyo ni mzoga kwa sasa kama unaupenda kazikwe rondo
 
Hapo ni kama utakuwa mtu wa karibu na Mungu (mcha wake) kwa moyo wako wote ndio shetani ataomba kibali. Vifo vingine ni vya shetani tu kama mtu upo upo sio moto wala baridi.

Ayu 1:12 SUV
BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yote aliyo nayo yamo katika uwezo wako; lakini usinyoshe mkono wako juu yake yeye mwenyewe. Basi Shetani akatoka mbele za uso wa BWANA.

Shetani ni mshtaki wetu, tukikubali atutumie basi tujue neema ya Mungu imeondoka juu yetu ma tumempa shetani kibali cha kutumaliza
 
Aiseeh nchi kumbe bado tuna kazi ya kufanya kama Taifa. Mh. Samia ondoa kila kitu ulichorithi awamu iliyopita. Simulizi zinasema ndicho kilichomponza John Kennedy 1963.
 
Kwa marlezo haya ambayo ni wazi yamefanyiwa utafiti wa kina lile kundi lililo watuma Askofu Malasusa na Kadnali Pengo bado lina nguvu ndani ya serikali na linaweza kufanya chochote kwa kiongozi au mtu yeyote. Kulionea aibu ni kufuga Jini kwenye chupa.
Sikiliza;


Mnayakuza haya ili mpate justification ya kufanya NINI!!?
 
Wapo wanaosema pia kwamba huyo wa awamu ya5 alisababishiwa
Mambo mengine tumwachie aliyetuumba tuu
Ni kawaida fitina ikishaingia ndani ya nyumba yeyote ile kuisha kwake ni kazi kweri kweri !! Kwa sasa itakuwa wanaNzengo wote No peace of mind at all !! Duniani hakuna raha ni shida tu !!
 
Back
Top Bottom