Haya ndiyo majibu ya Iran na washirika wake baada ya kushambuliwa na Marekani

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,913
Iran kupitia kwa wizara yake ya mambo ya nje imesema Marekani imefanya kosa kubwa sana la kimkakati kwa kushambulia maeneo ya Iraq na Syria.
Kwa upande wa Iraq imesema haitaki nchi yake iwe ni uwanja wa kujibizana mahasimu na kwamba inataka majeshi ya Marekani yaliyobaki yaondoke haraka nchini humo.Zaidi ya hapo waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo amesema kupiga maeneo ya nchi hiyo ni kukiuka haki na mamlaka ya kiinchi.Papo hapo Iraq kupitia waziri huyo imekanusha madai ya Marekani kwamba walitoa taarifa kabla ya kuanza kushambulia vituo inavyodai vina wapiganaji wanaofadhiliwa na Iran.
Syria kufuatia mashambulio hayo imesema hali ya Marekani kuikalia nchi yao haitoachwa iendelee.
Ama kwa upande wa Houth wa Yemen wamesema hasira zitajibiwa na hasira zaidi na kwamba hawataacha kushambulia meli za wachokozi mpaka hapo Israel itakaposimamisha vita huko Gaza.

Iran says US strikes are a 'strategic mistake'

 
Iran kupitia kwa wizara yake ya mambo ya nje imesema Marekani imefanya kosa kubwa sana la kimkakati kwa kushambulia maeneo ya Iraq na Syria.
Kwa upande wa Iraq imesema haitaki nchi yake iwe ni uwanja wa kujibizana mahasimu na kwamba inataka majeshi ya Marekani yaliyobaki yaondoke haraka nchini humo.Zaidi ya hapo waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo amesema kupiga maeneo ya nchi hiyo ni kukiuka haki na mamlaka ya kiinchi.Papo hapo Iraq kupitia waziri huyo imekanusha madai ya Marekani kwamba walitoa taarifa kabla ya kuanza kushambulia vituo inavyodai vina wapiganaji wanaofadhiliwa na Iran.
Syria kufuatia mashambulio hayo imesema hali ya Marekani kuikalia nchi yao haitoachwa iendelee.
Ama kwa upande wa Houth wa Yemen wamesema hasira zitajibiwa na hasira zaidi na kwamba hawataacha kushambulia meli za wachokozi mpaka hapo Israel itakaposimamisha vita huko Gaza.

Iran says US strikes are a 'strategic mistake'

Ukitaka kumtuliza nyoka mazima bomoa kichwa kwanza.
Hapo ilifaa ashughulikiwe Iran
 
Hapo Iran anatafutwa aingie mazima kwenye vita ili apasuke vizuri, ni kama Iran ameusoma mchezo, so anachungulia na kurudi nyuma.
Kwa namna yoyote ile vita vibaya vya mashariki ya kati na vinavyoelekea kuwa vya dunia vinanukia sana.
 
Iran kupitia kwa wizara yake ya mambo ya nje imesema Marekani imefanya kosa kubwa sana la kimkakati kwa kushambulia maeneo ya Iraq na Syria.
Kwa upande wa Iraq imesema haitaki nchi yake iwe ni uwanja wa kujibizana mahasimu na kwamba inataka majeshi ya Marekani yaliyobaki yaondoke haraka nchini humo.Zaidi ya hapo waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo amesema kupiga maeneo ya nchi hiyo ni kukiuka haki na mamlaka ya kiinchi.Papo hapo Iraq kupitia waziri huyo imekanusha madai ya Marekani kwamba walitoa taarifa kabla ya kuanza kushambulia vituo inavyodai vina wapiganaji wanaofadhiliwa na Iran.
Syria kufuatia mashambulio hayo imesema hali ya Marekani kuikalia nchi yao haitoachwa iendelee.
Ama kwa upande wa Houth wa Yemen wamesema hasira zitajibiwa na hasira zaidi na kwamba hawataacha kushambulia meli za wachokozi mpaka hapo Israel itakaposimamisha vita huko Gaza.

Iran says US strikes are a 'strategic mistake'

mliposhambulia Israel mlitaka mchekewe ?
 
Kwa namna yoyote ile vita vibaya vya mashariki ya kati na vinavyoelekea kuwa vya dunia vinanukia sana.
Hakuna vita vya dunia hapo, vita ya dunia itatokea endapo maslahi ya USA yataguswa au Israel kuvamiwa na nchi za kiarabu zikiongozwa na Rusia, hapo ndio vita itatoke, hata hivyo nchi za South American , Africa. na baadhi ya nchi za Asia, Ulaya haziwezi kujiingiza kwenye mzozo huo.
 
Iran kupitia kwa wizara yake ya mambo ya nje imesema Marekani imefanya kosa kubwa sana la kimkakati kwa kushambulia maeneo ya Iraq na Syria.
Kwa upande wa Iraq imesema haitaki nchi yake iwe ni uwanja wa kujibizana mahasimu na kwamba inataka majeshi ya Marekani yaliyobaki yaondoke haraka nchini humo.Zaidi ya hapo waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo amesema kupiga maeneo ya nchi hiyo ni kukiuka haki na mamlaka ya kiinchi.Papo hapo Iraq kupitia waziri huyo imekanusha madai ya Marekani kwamba walitoa taarifa kabla ya kuanza kushambulia vituo inavyodai vina wapiganaji wanaofadhiliwa na Iran.
Syria kufuatia mashambulio hayo imesema hali ya Marekani kuikalia nchi yao haitoachwa iendelee.
Ama kwa upande wa Houth wa Yemen wamesema hasira zitajibiwa na hasira zaidi na kwamba hawataacha kushambulia meli za wachokozi mpaka hapo Israel itakaposimamisha vita huko Gaza.

Iran says US strikes are a 'strategic mistake'

Iran yeye kila wakati utamsikia "ni kosa kubwa" au "wasithubutu kuvuka mpaka".
 
Kwa namna yoyote ile vita vibaya vya mashariki ya kati na vinavyoelekea kuwa vya dunia vinanukia sana.
Yaani kuchapwa waarabu ndiyo ndiyo iwe vita ya dunia? Are you serious? Afadhali hata Afrika vita zake huwa zina uzito. Ukiona nchi hapo mashiriki ya kati haikaliki ujue watu hawana kazi nalo tena, imebaki kama pagala tu lililoachwa miaka mingi limeota machaka tu na kubaki kuwa makao ya nyoka ma wadudu wenye sumu.
 
Watu watamdonoa donoa kabla kumponda kichwa na hatimae ataishiwa nguvu.
Bado saana, juzi usik mmoja ameshambulia nchi 4 Kwa mara moja ndan ya usiku mmoja, Iraq, Syria, Yemen na Jordan, mashambuliz yoote hayo hametoka barrac moja tu red sea, kasoro ile B.1 Bomber iliotoka Washington Direct to middle east non stop over 12000 miles kushambulia na kurudi airbase marekan usiku huo huo
 
Bado saana, juzi usik mmoja ameshambulia nchi 4 Kwa mara moja ndan ya usiku mmoja, Iraq, Syria, Yemen na Jordan, mashambuliz yoote hayo hametoka barrac moja tu red sea, kasoro ile B.1 Bomber iliotoka Washington Direct to middle east non stop over 12000 miles kushambulia na kurudi airbase marekan usiku huo huo
Nakubali Marekani imejiandaa sana kwa vita vya kiteknolojia.Mfano ni hiyo B1 bomber inapiga kijeuri sana.
Mrusi pekee na mchina ndio wana uwezo wa kuzitafuta B1.iran bado sana kurusha kombora la kuiangusha hiyo ndege.
Pamoja na yote hayo sidhani kuwa kwa kuwa na silaha aina hiyo Marekani ataweza kuzitumia kupiga bila kupata madhara kama wanaopigwa wakijua kutafuta silaha ambazo zinafaa zaidi kupiga kwa hali zao.
Silaha nzuri za nchi changa kuzitumia kwa Marekani na kuipa mtitikisiko ni droni pekee.na droni zenyewe zisiwe hizi hafifu zinazotoka Iran pekee.Yemen na wenzao watafute droni kutoka Uturuki na China wazitumie kupiga maslahi mengi ya kimarekani yaliyoenea mashariki ya kati.
Ndio maana nikaona Saudia inaongozwa na viongozi wapuuzi sana kwa hali za sasa hivI Waachane ni mipango ya kujenga makasino na washirikiane na Iran kujitayarisha kujilinda dhidi ya Marekani na Israel miaka ijayo.Hayo mataifa yatawafanyia fitna kubwa waislamu daima bila kuwatayarishia bakora zao.
 
Back
Top Bottom