Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,921
Raisi Biden wa Marekani na wasaidizi wake wametangaza kuwa mipango yote ya kupiga vituo vya Iran ndani ya Syria na Iraq imekamilika.Kinachosubiriwa ni hali ya hewa tu iwe rafiki kwa kile walichodai kukwepa kusababisha madhara kwa raia.
Na sisi walimwengu tunasubiri tuone athari ya vita hivyo na kwamba jee Iran itakaa kimya tena kwa kushambuliwa maslahi yake kwenye nchi hizo.
Tunachosubiri tena ni kuona iwapo Syria itatumia ile mitambo yake ya S400 kujilinda na mashambulizi ya anaga kutungua angalau ndege moja ya Marekani itakayoingia kwa jeuri nchini mwake.
Na sisi walimwengu tunasubiri tuone athari ya vita hivyo na kwamba jee Iran itakaa kimya tena kwa kushambuliwa maslahi yake kwenye nchi hizo.
Tunachosubiri tena ni kuona iwapo Syria itatumia ile mitambo yake ya S400 kujilinda na mashambulizi ya anaga kutungua angalau ndege moja ya Marekani itakayoingia kwa jeuri nchini mwake.