Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Mwanaume unayemsaidia na kumsupport akiwa na shida halafu wewe ukiwa na shida wala hajali tena.
Wananikera sana.
Vp mwanamke akisaidiwa wkt wa shida lkn hamjali mwanaume akiwa na shida.??
 
1. Mchoyo

2. Mwenye ghubu

3. Mwenye dharau

4. Much know na asiyeshaurika

5. Ngumi mkononi

6. Control freak

7. Asiyejiamini

8. Malaya na mzinzi>>> chovyachovya

10. Mbahili

11. Msema hovyo

12. Asokuwa na staha

13. Misifa.com

14. Mvivu

15. Mchafu

16. Mario

17. Kutokuwa mtafutaji

18. Kutokuwa na msimamo wa maisha.....ikiwemo asojua nini anataka

19. Asojitambua


Nitarudi na mengine
Je sifa hizo unazo???
 
Habari zenu wanawake,

Kuna mdau kaanzisha uzi wa tabia zinazowakera wanaume, wakati hata sisi tunazo pia zinazo kera. Wanawake weka tabia inayokukera kwa wanaume.

Mimi sipendi mwanaume mmbahili aiseee alafu hajui hata wajibu wake.
Mi sio bahili. Mwanamke asiponipiga mizinga namtema.
 
Matumizi yangu binafsi au yetu sote ila mwanaume lazima na wewe utoe mchango wako kwa girlfriend wako sio kukaakaa tu kama zuzu
Sasa natoa mchango kwako ili nipate mrejesho gani kutoka kwako.?? Yaani wewe unanipa nn?
 
Back
Top Bottom