Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Mwanaume muongo,muhuni na mficha mambo anakera....
Wanawake mnapenda kudanganywa sana mtu anakuona umevaa weddn rng stil anakuuliza umeeoa sasa unataka nn hapo kama sio kuongopewa
 
Wanawake mnapenda kudanganywa sana mtu anakuona umevaa weddn rng stil anakuuliza umeeoa sasa unataka nn hapo kama sio kuongopewa
Sasa huyo nae kaamua kujifanya kipofu mwenyewe
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Umeongea point
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Umeongoe point sana.
 
Mie sipendi mwanamke anayeninyyima uchi sasa kama ananinyima si tuachane tu. kwanza k yenyewe ime deformed tepetepe, nyonyo yenyewe ata ile chuchu ya kufinya imezama ndani akhaaaa damn it

samahani naona nimepita kusiko
Unataka sex..hautaki love??
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Ayaaaa ulikosea sana.. Kumbuka uchi wa wale wadada wa bar hajawahi kuuona. Na udhaifu wetu huwa ni huo kwamba kabla hujamfunia kichwa cha chini kinadhani kuna kitu cha tofauti kunbe hakuna. Ungemvumilia tu na ujue kwamba ni udhaifu wa wanaume wote.
 
Mwenyewe tabia za HOVYO HOVYO kama uongo, umalaya, asiyejali hisia za wengine, asiyejiheshimu, mbea mbea, anayetaka kuabudiwa.

pia mwanaume anayeongea pumba (unintelligent)

asiyejiamini.
Lkn wewe pia jiangalie uko sawa ktk hayo...sio unakuwa kipofu kujitazama..ila rahisi kumhukumu mwenzako.
 
anakutia shombo tu tu mihemo kama bata.. utalisikia haaa haaa kazi ynyew sifur mwe! Muda mwngne unatamani uliwekee vikwazo lkn huna jinsi unakubali tu kuogeshwa jasho likimaliza linaangukia huko utalisikia foooo fooo linakoroma ila wanawake tuna kazi..
dah we Dada nimekupenda bure umenichekesha saaana u made my weekend
 
Acha kung'ang'ania mwanamume mwenye kero, ya nini!! Kidume kimarioo cha kazi gani. Mwanamume kijogoo ameshikilia kidushe chake anataka kuchomeka kila kona wa nini? kidume macho kodooo achana nacho. Simama wewe kama wewe, fanya kazi jitume .... wallah nakwambia utaheshimika lakini ukijifanya wewe ruba, utakufa umetoa mimacho unalaani kidume poleeee. pigana kike kukimbia utegemezi....unataka ufanyiwe na kununuliwa kila kitu lazima uteswe.

Wekend njema. poleni wote mnaobembelezea vimarioo.
kwani huwezi kuendelea naye ukiwa unafight kimaisha.??? Lazima uachane nacho ndio ufight..??? Halafu usidharau uumbaji wa Mungu..wewe ukiumbiwa ukiumbe utaweza.
 
Back
Top Bottom