Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
Huyo engineer nahisi ni mhayakama lijamaa linajiita engineer humu
Huyo engineer nahisi ni mhayakama lijamaa linajiita engineer humu
Punguza kuokota okota,tafuta wa maana.Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Mi bodyguard wa mtoa uzi..Humu umefata nini

kama mainjinia wa inji hii ndo Hawa bora wapandishe tu hayo madaraja ya kuingilia chuokama lijamaa linajiita engineer humu
ahahaa kweli umeona eehkama mainjinia wa inji hii ndo Hawa bora wapandishe tu hayo madaraja ya kuingilia chuo
promise na pesa hatoi teh teh....mwanaume mwongomwongo na asiyeweza kukeep promise.
Hii ni tabia ya wanaume wote, hata pastors wanatazama sio kosa. Hii inaitwa manhood teh tehUtakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Usichelewe kurudi maana hawa wanaume wanajidai wao tu ndio wanapata keroKulalake ngoja ntarud kuzitaja....
Hii mada yako hebu fungulia sread ....Acha kung'ang'ania mwanamume mwenye kero, ya nini!! Kidume kimarioo cha kazi gani. Mwanamume kijogoo ameshikilia kidushe chake anataka kuchomeka kila kona wa nini? kidume macho kodooo achana nacho. Simama wewe kama wewe, fanya kazi jitume .... wallah nakwambia utaheshimika lakini ukijifanya wewe ruba, utakufa umetoa mimacho unalaani kidume poleeee. pigana kike kukimbia utegemezi....unataka ufanyiwe na kununuliwa kila kitu lazima uteswe.
Wekend njema. poleni wote mnaobembelezea vimarioo.
Wap ww njoo tukae wotemimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena
Hupendi mhuni sasa mambo yote akuwekee hadharan mengine ya kiumeMwanaume muongo,muhuni na mficha mambo anakera....
Wanaume wa JF wabinafsi sana inabid nawao wajue kua hawapo kamili hata wao wanatukera piahaya huku nako wanaume
Ww ulipata mario wako hajui kuogaMwanaume MCHAFU anayefikiri si jukumu lake kujitunza awe msafi, aishi pasafi.
Aiseemimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena

Sio mwakan mpaka 2021Jama tumeshasema huu mwaka si wakuhonga tusubilini mwakani upepo ukae poa