Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Habari zenu wanawake,

Kuna mdau kaanzisha uzi wa tabia zinazowakera wanaume, wakati hata sisi tunazo pia zinazo kera. Wanawake weka tabia inayokukera kwa wanaume.

Mimi sipendi mwanaume mmbahili aiseee alafu hajui hata wajibu wake.
Wajibu wa mwanaume unaujua wewe?!
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Huyo akufai njoo kwangu mi sio macho!
 
1475247292834.jpg



Shida hii
 
Mie sipendi mwanamke anayeninyyima uchi sasa kama ananinyima si tuachane tu. kwanza k yenyewe ime deformed tepetepe, nyonyo yenyewe ata ile chuchu ya kufinya imezama ndani akhaaaa damn it

samahani naona nimepita kusiko
Hahahahahhaha baada ya kunyimwa k ndo unaporomosha matusi sasa ila kipindi unaomba hukuona kwamba nyonyo zina shida. Umetishaaa
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
wewe utakuwa huna TAKO ni FLAT SCREEN
 
Back
Top Bottom