Mhuni kwamaana ya kutotulia na mtu wake... Sio utundu wa chumbanikuna mwanamke hapendi mwanaume mhuni?we sema unamkumbuka penzi la mhuni sema ndo ana mda na ww
Housegirl umetishaMwenyewe tabia za HOVYO HOVYO kama uongo, umalaya, asiyejali hisia za wengine, asiyejiheshimu, mbea mbea, anayetaka kuabudiwa.
pia mwanaume anayeongea pumba (non-intelligent)
asiyejiamini.
we ndo umemalizamimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena
Kuna tatizo kwani?Halafu akifa arudi kutangaza ujane humu
We mtu kufa kwa sababu hiyo unaona sawasawa?Kuna tatizo kwani?
Umetendwa?,Pole..mimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena
Jana2 tulikuwa wote pale makuti bar..,leo unakuja jf eti hawanihusu@miss Natafuta.. mungu anakuona..mimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena

Ndo tulivyo ... Maana mnatumia Michina sana siku hizi... Yaani Apite Vera the boss lady usigeuke kweliiiiii...Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
bar niende kufanya nini?Jana2 tulikuwa wote pale makuti bar..,leo unakuja jf eti hawanihusu@miss Natafuta.. mungu anakuona..![]()
Ulimkutaje...??Mwanaume asiejituma kutafuta maisha.
kama lijamaa linajiita engineer humuMwenyewe tabia za HOVYO HOVYO kama uongo, umalaya, asiyejali hisia za wengine, asiyejiheshimu, mbea mbea, anayetaka kuabudiwa.
pia mwanaume anayeongea pumba (non-intelligent)
asiyejiamini.
Humu umefata nininawasalimu wanawake wote...