Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

mimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena
Kwakweli usawa huu hatuna haja ya kutishiana kupendwa au kutopendwa, kila mbuzi ale usawa wa kamba yake, nikiwa na hamu zangu nitafuata bizaa sokoni.
 
Wanawake kwa kudeka dah! hivi wakati mwingine huwa mnatamani tugeuke mi robot yenu ndo raha yenu?
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
huba churaaaaaa kwahiyo we ni mremboooo
 
kuanzia kesho nakula ugali wa dona na mtindi maana dharau zimezidi wewe DOCHIVELE utanitambua eti fooooooo hahaha eti fuuuu nataka tuonane haraka tumjue mwanaume
 
pesa omba ila unazifanyia nini ndio shida?? Mtu anaomba hela akaongeze makalio au NIDO??? si maajabu haya. Mwingine akaweke makope yale ya makatani hadi anakuwa ananitisha, sasa natoa hela ya nini hapo??/
Kiruuuu!
 
Habari zenu wanawake,

Kuna mdau kaanzisha uzi wa tabia zinazowakera wanaume, wakati hata sisi tunazo pia zinazo kera. Wanawake weka tabia inayokukera kwa wanaume.

Mimi sipendi mwanaume mmbahili aiseee alafu hajui hata wajibu wake.

Kumbe
 
Utakuta janaume lina mwanamke mrembo tuu sasa kama mmekaa bar anaanza kukodolea macho vichenchede vinavo pita... yaan macho juu juu. Juzi nilimpiga bonge la kofi mwanaume wangu kisa anashangaa sana madada wa bar
Mkuu labda kuna kitu kinamiss kwako ndo maana ndugu yetu anaangalia wengine
 
Back
Top Bottom