Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

dildo zizuiwe tu
1476123574901.jpg
 
Nachukia wanaume waongo waongo halafu bahili asiejua kujali. Hasa vijana yaan ndio pasua kichwa aiseee. Unakuta mtu eti anaringia u-handsome,sasa uhandsome wako mm unanihusu nini ikiwa hata hunijali mxiewww!
Si anakupa pipi mti ya machungwa au?
 
Habari zenu wanawake,

Kuna mdau kaanzisha uzi wa tabia zinazowakera wanaume, wakati hata sisi tunazo pia zinazo kera. Wanawake weka tabia inayokukera kwa wanaume.

Mimi sipendi mwanaume mmbahili aiseee alafu hajui hata wajibu wake.
Mwanaume anayeishi maisha ya kindege ndege yaan yeye usiku utakapomkutia ndio hapo hapo analala, hana muda na familia, pombe na wanawake kunywa kidogo tu, mwanaume anaenda bar anataka anywe mpaka hela iishe mfukoni , mwanaume mgomvi sina hamu nae hata kidogo, mwanaume mjuaji au mbabe aisee jifanye kama hujaniona , mwanaume kila sketi unaona nisaizi yako hakika unalaana,, mwanaume unayejisifia idadi ya wanawake uliodate nao ukimwi unakuita hakika, mwanaume bahili pita kushoto sina amani na wew
 
mimi sipendi mwanaume yoyote wakae tu na maisha yao ya ubahili,uchoyo ,uuaji,unafiki,wizi,udanganyifu,sijali hawanihusu tena
You can not run away by yourself,,Man its like Walter you will use it even in washing your Anu####s
 
Mwanaume anayenuka jasho,na mtoto wa mama hana maamuz yke mwenyewe
 
Habari zenu wanawake,

Kuna mdau kaanzisha uzi wa tabia zinazowakera wanaume, wakati hata sisi tunazo pia zinazo kera. Wanawake weka tabia inayokukera kwa wanaume.

Mimi sipendi mwanaume mmbahili aiseee alafu hajui hata wajibu wake.
kiujumla sote tunamapungufu hivyo tujifunze tu namana ya kuchukuliana madhaifu tuliyonayo,
 
kila mtu akae na pesa zake
sihongi na nina kimbiza wanaojiona wazuri na ninawagegeda mpaka wanachukia
"Hapa kazi tu"
 
Back
Top Bottom