Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Haya ndio Mambo yanayotukera Wanawake

Matumizi yangu binafsi au yetu sote ila mwanaume lazima na wewe utoe mchango wako kwa girlfriend wako sio kukaakaa tu kama zuzu
Na je waweza kunipa pesa mm mwanaume wako nikibanwa na shida?? Wewe unayopesa..na mm huwa nakupa pesa ukiwa na shida tena bila kuombwa.
 
Na je waweza kunipa pesa mm mwanaume wako nikibanwa na shida?? Wewe unayopesa..na mm huwa nakupa pesa ukiwa na shida tena bila kuombwa.

Ukiwa na shida naweza kukusaidia ila si from nowhere nikupe ! a man is a man play your part
 
mpenzi wako
Sawa kuwa mpenzi wangu...kuna halalisha wewe kupewa huduma,..je mm kuwa mpenzi wako unanipa huduma gani..mm nakutunza wewe kwa jasho langu kwa sababu wewe ni mpenzi wangu..?? Je wewe unanitunza vp mm kwa sababu mm ni mpenzi wako..tena niwe wako pekee..nisiende kwa mwingine???
 
Ukiwa na shida naweza kukusaidia ila si from nowhere nikupe ! a man is a man play your part
Sio from nowhere..nimebanwa kweli
..na wewe ninavyokupigaga tough si uwa unakuwa umebanwa..au unataka hela kama desturi (lazima mwanaume amhudimie mwanamke)hata kama unayo??....halafu haki sawa mbona haipo hapa??
 
Sio from nowhere..nimebanwa kweli
..na wewe ninavyokupigaga tough si uwa unakuwa umebanwa..au unataka hela kama desturi (lazima mwanaume amhudimie mwanamke)hata kama unayo??....halafu haki sawa mbona haipo hapa??

Nimesema hivi ukina na tatizo na mimi nina uwezo nitakusaidia'
 
Nachukia wanaume waongo waongo halafu bahili asiejua kujali. Hasa vijana yaan ndio pasua kichwa aiseee. Unakuta mtu eti anaringia u-handsome,sasa uhandsome wako mm unanihusu nini ikiwa hata hunijali mxiewww!
 
Habari zenu wanawake,

Kuna mdau kaanzisha uzi wa tabia zinazowakera wanaume, wakati hata sisi tunazo pia zinazo kera. Wanawake weka tabia inayokukera kwa wanaume.

Mimi sipendi mwanaume mmbahili aiseee alafu hajui hata wajibu wake.

Mimi sipendi mwanamke tegemezi ambaye kila dakika anapiga virungu tuu kama vile kuna mti wa pesa natikisa
 
Kunihudumia kama mpenzi wako na kusaidiana ni vitu viwili tofauti!
Sasa hv mambo yamebadirika...wanawake wako sawa na wanaume..sio maofisini wala mashuleni...haki sawa inafanya kazi..tofauti na zamani...wanawake walikuwa watu wa nyumbani tu..hayo unayotaka wewe ni ya kitambo hicho sio sasa...wale usiwalaumu wanaume.ni mfumo ndiyo umebadirika..anza na wewe kumhudumia mwanaume wako na yeye atakuhudumia wewe...hizo ndizo hasara za haki sawa..kama mnafaidi faida zake..msikwepe hasara zake...IT BEGINS WITH YOU.
 
Sasa hv mambo yamebadirika...wanawake wako sawa na wanaume..sio maofisini wala mashuleni...haki sawa inafanya kazi..tofauti na zamani...wanawake walikuwa watu wa nyumbani tu..hayo unayotaka wewe ni ya kitambo hicho sio sasa...wale usiwalaumu wanaume.ni mfumo ndiyo umebadirika..anza na wewe kumhudumia mwanaume wako na yeye atakuhudumia wewe...hizo ndizo hasara za haki sawa..kama mnafaidi faida zake..msikwepe hasara zake...IT BEGINS WITH YOU.

Naona umeenda mpaka Beijing! Real men take care of their women.
 
Naona umeenda mpaka Beijing! Real men take care of their women.
Real women care for their men..in the today's world..don't live in the past today..yaani mwanamke ukitaka kuhudumiwa wakati wewe una kazi na haumhudumii mwanaume wako...mwanaume anakupotezea fasta...maana sasa hv uchumi unamilikiwa na jinsia zote mbili...zamani uchumi ulimilikiwa na jinsia ya kiume..hata shughuli za kiuchumi zilifanywa na wanaume tu..sasa nyinyi wanawake mnaonekana mna roho mbaya na wabinafsi..mnapoomba omba hela wanaume...huku nyinyi mkiwabania wanaume...wakati mfumo umewapa uwezo jinsia zote...badirikeni..dunia ya sasa si kama ya zamani.
 
Real women care for their men..in the today's world..don't live in the past today..yaani mwanamke ukitaka kuhudumiwa wakati wewe una kazi na haumhudumii mwanaume wako...mwanaume anakupotezea fasta...maana sasa hv uchumi unamilikiwa na jinsia zote mbili...zamani uchumi ulimilikiwa na jinsia ya kiume..hata shughuli za kiuchumi zilifanywa na wanaume tu..sasa nyinyi wanawake mnaonekana mna roho mbaya na wabinafsi..mnapoomba omba hela wanaume...huku nyinyi mkiwabania wanaume...wakati mfumo umewapa uwezo jinsia zote...badirikeni..dunia ya sasa si kama ya zamani.

Naona una stress!! it seems hata zawadi ya nguo ya ndani hujawahi kumnunulia mpenzi wako, vitu/vizawadi vidogo vidogo vina nafasi katika mahusiano, na kama mwanaume uliyekamilika kumjali/kumfurahisha/kumpendezesha mpenzi wako ni jambo la kawaida , Wanaume wengine wanafeel proud!! Naona hatujaelewana umeamua kwenda kwenye national level, im not talking about the national economy and alike! Hapa naongelea mtu na mpenzi wake.
 
Naona una stress!! it seems hata zawadi ya nguo ya ndani hujawahi kumnunulia mpenzi wako, vitu/vizawadi vidogo vidogo vina nafasi katika mahusiano, na kama mwanaume uliyekamilika kumjali/kumfurahisha/kumpendezesha mpenzi wako ni jambo la kawaida , Wanaume wengine wanafeel proud!! Naona hatujaelewana umeamua kwenda kwenye national level, im not talking about the national economy and alike! Hapa naongelea mtu na mpenzi wake.
Wala usinifikirie hivyo...na hata sina stress hata kiduchu...sasa vitu hivyo unavyotaka kufanyiwa..tena vidogo tu lkn vina maana sana..ukimfanyia mwanaume wako..nn kitatokea..???
...yaani yeye anakufanyia na wewe unamfanyia hivyo..unaonaje??
 
Njoo kwangu coz sipendi ujingakabisa hasa kwenye masuala ya ubahiri
 
Back
Top Bottom