Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,608
- 4,774
Habarini wana JF, kiufupi mimi shughuli zangu za kutafuta coins nazifanyia tu hapa hapa mtaa fulan huku Dodoma, ila zilipita siku nyingi kidogo kama mwezi hivi sijaenda town.
Sasa leo nikaona acha niende huko mjini kununua mahitaji kidogo, aisee nimeshtushwa kidogo baada ya kila kona ninayopita kwenye barabara kukutana na mfano wa aina hiyo ya bango (picha ipo chini, mabango ya Dodoma sikufanikiwa kupiga picha) mpaka nkashtuka nikasema nini hiki kinaendelea tena!
NB: Wayaongeze hayo mabango maana mbona ni machache sana.
Sasa leo nikaona acha niende huko mjini kununua mahitaji kidogo, aisee nimeshtushwa kidogo baada ya kila kona ninayopita kwenye barabara kukutana na mfano wa aina hiyo ya bango (picha ipo chini, mabango ya Dodoma sikufanikiwa kupiga picha) mpaka nkashtuka nikasema nini hiki kinaendelea tena!
NB: Wayaongeze hayo mabango maana mbona ni machache sana.