DOKEZO Askari wa Usalama barabarani wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza ni jipu linalohitaji kitumbuliwa haraka iwezekanavyo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

nizakale

JF-Expert Member
Oct 23, 2019
4,029
2,902
Traffic wilaya ya Sengerema wanatakiwa wazinagatie taratibu za kazi zao badala ya kuwakomoa hasa wenye private cars.

Siku moja nilisafiri kuelekea Geita kupitia Busisi. Nimevuka kivuko salama na nikaanza safari yangu kuelekea Geita.

Kote nilikopita nilizingatia alama zote za barabarani, huku wenye mabasi wakipita mwendo kasi hata kwenye sehemu ambazo kuna alama ya 50 Kph. Nilipofika Sengerema mjini huku nikiwa na mwendo wa 40 kph baada tu ya kupita round about mbele kidogo, traffic mmoja akanisimamisha. Niliposimama akaomba leseni yangu.

Nikampa baadaye akanionyesha picha ya gari inayofanana na yangu eti huko nyuma nimeenda mwendo kasi kwenye alama za pundamilia, nikamuuliza ni wapi hapo akasema hajui. Nikamhoji hiyo picha namba ya gari ni ngapi, hana jibu. Nikamuuliza tena ni magari mangapi yanayofanana na yangu yamepita njia hii, hakuwa na jibu.

Akaniandikia faini na kunipa control namba. Kweli kitendo hicho kiliuma sana maana sikuwahi kwenda mwendo kasi. Mambo haya yamezidi sana wilaya hii. Sijui kwanini na hutaona bus likisimamishwa nadhani kuna namna ambayo huwa wanakubaliana na wenye mabus.

Mbona wilaya zingine hakuna uonevu kama huu? Uonevu kama huu iko siku utaleta maafa. Maana siwezi kuonewa hivi hivi ni bora niende kunyea debe. Upuuzi kama huu huwezi kuuona Nyamagana, Misungwi wala Geita.

Kama wilaya yenu ni maskini tafuteni vyanzo vingine vya mapato badala ya kuonea wenye private car. Bora wapige picha na plate namba ionekane siyo kulazimisha eti, ohh picha inafanana na gari yako.

Kweli inauma sana.
 
Pole sana, inabidi watu wazungumze ili Tanzania na Dunia ijue kinachofanywa na Askari Polisi, na sio wa huko tu ni sehemu nyingi hawa jamaa ni jipu.
 
Traffic wilaya ya Sengerema wanatakiwa wazinagatie taratibu za kazi zao badala ya kuwakomoa hasa wenye private cars.

Siku moja nilisafiri kuelekea Geita kupitia Busisi. Nimevuka kivuko salama na nikaanza safari yangu kuelekea Geita.

Kote nilikopita nilizingatia alama zote za barabarani, huku wenye mabasi wakipita mwendo kasi hata kwenye sehemu ambazo kuna alama ya 50 Kph. Nilipofika Sengerema mjini huku nikiwa na mwendo wa 40 kph baada tu ya kupita round about mbele kidogo, traffic mmoja akanisimamisha. Niliposimama akaomba leseni yangu.

Nikampa baadaye akanionyesha picha ya gari inayofanana na yangu eti huko nyuma nimeenda mwendo kasi kwenye alama za pundamilia, nikamuuliza ni wapi hapo akasema hajui. Nikamhoji hiyo picha namba ya gari ni ngapi, hana jibu. Nikamuuliza tena ni magari mangapi yanayofanana na yangu yamepita njia hii, hakuwa na jibu.

Akaniandikia faini na kunipa control namba. Kweli kitendo hicho kiliuma sana maana sikuwahi kwenda mwendo kasi. Mambo haya yamezidi sana wilaya hii. Sijui kwanini na hutaona bus likisimamishwa nadhani kuna namna ambayo huwa wanakubaliana na wenye mabus.

Mbona wilaya zingine hakuna uonevu kama huu? Uonevu kama huu iko siku utaleta maafa. Maana siwezi kuonewa hivi hivi ni bora niende kunyea debe. Upuuzi kama huu huwezi kuuona Nyamagana, Misungwi wala Geita.

Kama wilaya yenu ni maskini tafuteni vyanzo vingine vya mapato badala ya kuonea wenye private car. Bora wapige picha na plate namba ionekane siyo kulazimisha eti, ohh picha inafanana na gari yako.

Kweli inauma sana.
Kwa nini usiende kituo Cha police ukazungmze Ili siku nyingine isijirudie
 
Nawatetea sana askari, nafahamu mazingira ya kazi yao yalivyo magumu. Lakini hapo askari alikosea. Ni vile tu watanzania hatupendi usumbufu wa kwenda mahakamani, lakini hiyo faini ingeweza kufutwa.
 
Traffic wilaya ya Sengerema wanatakiwa wazinagatie taratibu za kazi zao badala ya kuwakomoa hasa wenye private cars.

Siku moja nilisafiri kuelekea Geita kupitia Busisi. Nimevuka kivuko salama na nikaanza safari yangu kuelekea Geita.

Kote nilikopita nilizingatia alama zote za barabarani, huku wenye mabasi wakipita mwendo kasi hata kwenye sehemu ambazo kuna alama ya 50 Kph. Nilipofika Sengerema mjini huku nikiwa na mwendo wa 40 kph baada tu ya kupita round about mbele kidogo, traffic mmoja akanisimamisha. Niliposimama akaomba leseni yangu.

Nikampa baadaye akanionyesha picha ya gari inayofanana na yangu eti huko nyuma nimeenda mwendo kasi kwenye alama za pundamilia, nikamuuliza ni wapi hapo akasema hajui. Nikamhoji hiyo picha namba ya gari ni ngapi, hana jibu. Nikamuuliza tena ni magari mangapi yanayofanana na yangu yamepita njia hii, hakuwa na jibu.

Akaniandikia faini na kunipa control namba. Kweli kitendo hicho kiliuma sana maana sikuwahi kwenda mwendo kasi. Mambo haya yamezidi sana wilaya hii. Sijui kwanini na hutaona bus likisimamishwa nadhani kuna namna ambayo huwa wanakubaliana na wenye mabus.

Mbona wilaya zingine hakuna uonevu kama huu? Uonevu kama huu iko siku utaleta maafa. Maana siwezi kuonewa hivi hivi ni bora niende kunyea debe. Upuuzi kama huu huwezi kuuona Nyamagana, Misungwi wala Geita.

Kama wilaya yenu ni maskini tafuteni vyanzo vingine vya mapato badala ya kuonea wenye private car. Bora wapige picha na plate namba ionekane siyo kulazimisha eti, ohh picha inafanana na gari yako.

Kweli inauma sana.
Sasa unalalamika nini? Si ungemshughulikia hapo hapo huyo Trafiki halafu ukatuletea taarifa baada ya kunyea debe? Umesimamishwa. Ukasimama. Ukaambiwa kosa. Ukakubali. Umelipishwa faini; umetoa, halafu eti ooh, sipendi kuonewa! PUMBAVU!!!
 
Traffic wilaya ya Sengerema wanatakiwa wazinagatie taratibu za kazi zao badala ya kuwakomoa hasa wenye private cars.

Siku moja nilisafiri kuelekea Geita kupitia Busisi. Nimevuka kivuko salama na nikaanza safari yangu kuelekea Geita.

Kote nilikopita nilizingatia alama zote za barabarani, huku wenye mabasi wakipita mwendo kasi hata kwenye sehemu ambazo kuna alama ya 50 Kph. Nilipofika Sengerema mjini huku nikiwa na mwendo wa 40 kph baada tu ya kupita round about mbele kidogo, traffic mmoja akanisimamisha. Niliposimama akaomba leseni yangu.

Nikampa baadaye akanionyesha picha ya gari inayofanana na yangu eti huko nyuma nimeenda mwendo kasi kwenye alama za pundamilia, nikamuuliza ni wapi hapo akasema hajui. Nikamhoji hiyo picha namba ya gari ni ngapi, hana jibu. Nikamuuliza tena ni magari mangapi yanayofanana na yangu yamepita njia hii, hakuwa na jibu.

Akaniandikia faini na kunipa control namba. Kweli kitendo hicho kiliuma sana maana sikuwahi kwenda mwendo kasi. Mambo haya yamezidi sana wilaya hii. Sijui kwanini na hutaona bus likisimamishwa nadhani kuna namna ambayo huwa wanakubaliana na wenye mabus.

Mbona wilaya zingine hakuna uonevu kama huu? Uonevu kama huu iko siku utaleta maafa. Maana siwezi kuonewa hivi hivi ni bora niende kunyea debe. Upuuzi kama huu huwezi kuuona Nyamagana, Misungwi wala Geita.

Kama wilaya yenu ni maskini tafuteni vyanzo vingine vya mapato badala ya kuonea wenye private car. Bora wapige picha na plate namba ionekane siyo kulazimisha eti, ohh picha inafanana na gari yako.

Kweli inauma sana.
Ungemalizia kwa tusi zito la nguoni kwa huyo Maku
 
Nawatetea sana askari, nafahamu mazingira ya kazi yao yalivyo magumu. Lakini hapo askari alikosea. Ni vile tu watanzania hatupendi usumbufu wa kwenda mahakamani, lakini hiyo faini ingeweza kufutwa.
Yaani kweli niliumia sana
 
Sasa unalalamika nini? Si ungemshughulikia hapo hapo huyo Trafiki halafu ukatuletea taarifa baada ya kunyea debe? Umesimamishwa. Ukasimama. Ukaambiwa kosa. Ukakubali. Umelipishwa faini; umetoa, halafu eti ooh, sipendi kuonewa! PUMBAVU!!!
Yaani ninamhoji hayo maswali anaandika faini na leseni kashikilia.
 
Kitu ambacho huwa kinanishangaza ni kuwa gari la abiria linaweza kutoa hata afu tatu kwa trafic police lakin private car hata ukiwapatia elfu 10 kuna wakat wAnakataa kabisa
 
Kitu ambacho huwa kinanishangaza ni kuwa gari la abiria linaweza kutoa hata afu tatu kwa trafic police lakin private car hata ukiwapatia elfu 10 kuna wakat wAnakataa kabisa
Kwa kweli Sengerema hawa traffic wamezidi
 
Back
Top Bottom