Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Maana yake bilabila,,,af hii risechi ya kujua mtandaoni feki mtaani halisi uliifanya lini na wapi, (ingawa kuna kaukweli flan ivi!)

Nimeifanyia kote kote!
 
Hahahha mi nilimuona Excel Tarime nikampita kama sio mimi vile...
hahahaaaa! wallllahi nisingekubakiza dadeki.. kwa kibambataa ulichonacho mamii,

ningekodi vx dadeki..!

kwema lakini huko?... hujaingiliwa na maji kweli? lol.
 
Sijui hao fake wa kujikweza mnajutananao wapi? Au ndio birds of the same .........
Mimi niliokutanana nao kwanza haata hawazungumzii material worth (nafikiri hawahitaji kuprove anything to anybody au kumuimpress yotote) na ukiwaona hadi unajiuliza umewezaje kukutana na mtu kama huyo.

Nafikiri tatizo lingine lipo kwa mtafsiri, namaanisha yule anayeanza kufikiri Eiyer yuko juu; kwanini inichukulie muda kuanza kufikiria maisha yako. Ulichoniambia mtandaoni nitakibeba, kama sio kweli it is not my problem. Ukisema waishi capripoint wakati waishi buswelu haibadilishi your own reality ambayo kiukweli inakuumiza ndio maana waionea aibu.

Danganya uwezavyo but your reality is still haunting you, sio unayemdanganya.
 
Last edited by a moderator:
Mimi yangu kimweku mweku cha mchina nafunga na mpira kwani imeachiana ni zile za elfu 30000/=tsh tu.

Uache nawe ufake. Eti mchina wakati una iphone 6, eti unakaa gongo lá mboto, wakati uko Orange County CA, USA.
Eiyer kuna watu kama hawa ambao ni very humble na wanaficha sifa au accomplishment zao, nao si FAKE.
 
Last edited by a moderator:
Uache nawe ufake. Eti mchina wakati una iphone 6, eti unakaa gongo lá mboto, wakati uko Orange City CA, USA.
Eiyer kuna watu kama hawa ambao ni very humble na wanaficha sifa au accomplishment zao, nao si FAKE.

Duh we Kaunga nawe hahaa i6 air bado hazijatoka banaa
 
Last edited by a moderator:
Uache nawe ufake. Eti mchina wakati una iphone 6, eti unakaa gongo lá mboto, wakati uko Orange City CA, USA.
Eiyer kuna watu kama hawa ambao ni very humble na wanaficha sifa au accomplishment zao, nao si FAKE.

Mkuu ipi bora, fake +ve au fake -ve?
 
Last edited by a moderator:
Uache nawe ufake. Eti mchina wakati una iphone 6, eti unakaa gongo lá mboto, wakati uko Orange City CA, USA.
Eiyer kuna watu kama hawa ambao ni very humble na wanaficha sifa au accomplishment zao, nao si FAKE.

Fake lazima iwe na ubora hafifu.....ubora wa chini kuliko halisi....
Ikiwa na ubora kuliko halisi sio feki Kaunga......
Tuite ni waongo tu.....
 
Last edited by a moderator:
Ndo sisi tunakutana sokoni nanunua dagaa, nyanya chungu n.k
nahemea vitumbua vya kunywea chai pale kwa bibi athumani
ila huku ntaandika natoka shopping supermarket nimenunua fillet na hapo kwenye vitumbua ntasema nimekula baga
Mupenzi anaishi nyumba ya pili kutoka hapa uswazi kwetu anazurura tu ila huku ntasema yupo nje kikazi
rahaaa utamuuuuu

hah hah nmeipenda hii!
 
Wanawake wa huku wote wanapinga kuwasaliti wapenzi wao lakini huku mtaani hakuna hao
 
hahahaaaa! wallllahi nisingekubakiza dadeki.. kwa kibambataa ulichonacho mamii,

ningekodi vx dadeki..!

kwema lakini huko?... hujaingiliwa na maji kweli? lol.

Hahahahahah. ....ndio maana nilisepa ningejionyesha kwa mamba saa hii ningeshaliwaa...

Chezea mzee wa installation wewee!!!
 
Hahahahahah. ....ndio maana nilisepa ningejionyesha kwa mamba saa hii ningeshaliwaa...

Chezea mzee wa installation wewee!!!
hahahhaaaaa!!! aisee ningekwachia ningeonekana sina tabia njema aisee! ningehakikisha unakaa wiiki nzimaaaa!

afu ujue nakutumia nanihii lakini haiingii vizuri! hahahaaaa!!! kwanini?
 
Back
Top Bottom