Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,384
Poa tu nasi tutawangoja hadi tuote mvi huku tukiendeleza fake life teh....ndo maana tutachelewa kuwaoa!!
Poa tu nasi tutawangoja hadi tuote mvi huku tukiendeleza fake life teh....ndo maana tutachelewa kuwaoa!!
Mbona tupoHebu nianze na wewe
Unapenda kubwa au?
Unapenda jamaa atwange kama kinu au?
Sina hela kabisa
Ni mbangaizaji tu!!!!!!
Hivyo hauna tatizo na hilo?
humu ni usanii tu, kwanza watu wa mtandaoni wote mambo safi na wanawake wote warembo. teheeeeeee!
Siamini hujui hayo!
Ndiyo nimekuita bibie
Si unakua bila kukuona mimi huku hali inakuwa sio nzuri?
Kumbe ndivyo walivyo eeehh..!!
Bora me niko zangu UK,,,kidogo huku mambo nitofauti ufake sio sanaaa!!!!!
Tena kimbiaaaa usigeuke nyuma.....hahhaha
Hahhahaha
wote wasomi ,kwa wanaume kujisifu mechi za kitandani wanazijua, wamejaaliwa mitalimbo yaani ni shidaaaa...
Mmmmmmhhhhhhh....!!....!!....!!....Unacheka nini sasa kwani siko UK?
wote wasomi ,kwa wanaume kujisifu mechi za kitandani wanazijua, wamejaaliwa mitalimbo yaani ni shidaaaa...
wewe acha hizo juzi haukugombania gari la gombo la mboto pale buguruni