Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Kwani UK wanaishi malaika?
We umejeaje kuwa hawa fake?
UK wanaishi wasema kweli...!!

Kwanza, wanatumia majina halisi.
Pili, wanatumia picha halisi.
Tatu, ukihitaji kuonana nao wanakubali hawasumbui.
Nne, wanaogopa dhambi ya uongo.
Tano, hawajui kufake kabisa.
 
UK wanaishi wasema kweli...!!

Kwanza, wanatumia majina halisi.
Pili, wanatumia picha halisi.
Tatu, ukihitaji kuonana nao wanakubali hawasumbui.
Nne, wanaogopa dhambi ya uongo.
Tano, hawajui kufake kabisa.

Kumbeeee
 
Kiongozi nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja

Naweza ongezea maisha ya mitandaoni yanafanana na maisha ya filamu au tungo za miziki
 
Wote wanaosema mambo ya uongo ni wanafki tu.wote wa kawaida tu humu jamvini,jakuma classic.
 
^^
Kumbukumbu zangu zinaniambia ulisema unamwita shemeji kwa sababu huna pesa, i.e why nikakuuliza umezipata?
^^

hahahaaaa! Dah! Hapana mkuu namwita shemeji kwaajili yako..... Siwez kuvaa viatu vyako mkuu hapo ntakuwa nakutafuta
 
Tuanze na zoezi dogo tu kama unajiamini uko real hufake life,kila mtu ataje real cm anayotumia,me natumia Samsung at&t sg 4G kwa wale wanazifahamu na kalumia 620 wewe je?
Mimi yangu kimweku mweku cha mchina nafunga na mpira kwani imeachiana ni zile za elfu 30000/=tsh tu.
 
hahahaaaa! Dah! Hapana mkuu namwita shemeji kwaajili yako..... Siwez kuvaa viatu vyako mkuu hapo ntakuwa nakutafuta

^^
Hee imekuwaje tena Mkuu, kuna mhusika two ten, msikie tu, siku akija patachimbika humu.

^^
 
Back
Top Bottom