MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Hahahah shemeji umeuliza swali gumu, eti wako wapi mwee!
Naunga hoja yako mkono kwa asilimia 100. Mambo ya huku ndo jamii halisi. We mwanaume ana kimbilimbi - size si shida - shida ni pale anapotaka style ya kuendesha farasi!! ukimwambia si atajinyonga kwa kondom? Unatunza heshma yake, unapiga makelele na kujidai akiendelea anakuua kwa jinsi kwata lake lilivyo la ukweli. Unaondoka na dukuduku unakuja kulisemea huku - uhalisia. Huku feki ni majina tu. Kwanza Watandale na Wa kwa nyamani hata kona ya jamii foram hawaijui. Mitaani ndo tunaazima vogue za wanetu, huku tunakuja kusema ukweli. Mitaani unafiki kila kona, kila mtu mcha mungu. Huku ndo unakojua watu walivyo mabazazi. Mtaani vijana unakutana nao wamelemewa na mabegi ya madaftari sijui na lap top. Unajisemea wasomi ndo hawa. Njoo Jamii foram ukute wanavyokandia post zenye mistari zaidi ya miwili - eti ndefu sana nimechoka hata kusoma...ooh hueleweki! Kumbe ni vilaza- uhalisia.Huko mtaani hamtuoni kwasababu tumeficha true colors zetu! Tukiwaeleza ukweli mnatukimbia hamtuoi! So tuna pretend sana tu yani!
Hapa is where we dare to speak openly! Majibu ya maswali yako angalia rate ya michepuko kwenye mahusiano mengi!
Dah shemeji umenifanya nipate wazo la kujichungua...... Inawezekana na mie sipractise ninachokipreach mitandaoni ndo mana nduguyo akanimwaga....... Yaani duh!Hivi ulipotelea wapi bana?
Ujue nilikumiss hadi nilikuwa sili?
Wa mitaani
Hawa wa huku mitaani wao ukiwa na dushe kubwa utasikia tu wanakusema mitaani "mwanaume gani ana dushe kama mguu wa mtoto"?Huwa wanalalamika eti ukienda faragha na mwanaume huyo kesho yake utadhani umejifungua"
Hivi na wewe ni bibi kweli?