Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Wewe huyu anaishi jirani na shangazi yangu mabatini kule mlimani juu,,halafu wanawake wa kule wote wana vigimbi sababu ya kupanda milima..

Shhhhh hapa ni mtandaoni sema anaishi capripoint tu yaishe
 
Mi naishi masaki wazazi wangu walihamia daslam kikazi
yani pale pale ubungo kwa pembeni ndo masaki kwetu
jirani kabisa na ghorofa Lao charminglady

heeeee naishi mbezi beach tangi bovu nyuma ya kanisa la KKT geti jeusi utamkuta mlinzi wetu
leo tauwa mliani city ntkuwa na HARRIER BMD 307...For short time pale SAMAKI SAMAKI.
jioni ntakuwa msasani SHOPRITE

UUUUUUwiiiii nakufa mie kumbe nipo bonde la msimbzi au keko mafuriko yanenanisumbua
jaman achen mitandao na uongo wake
 
Acha zako wewe
Huko daslam kwenye mabugando mengi hujawahi kufika kabisa

Na huyo mwenzako nae yuko kwao nilikokuambia analima mihogo!

Usiseme hivo bana unajua hapa ni mtandaoni teh
 
heeeee naishi mbezi beach tangi bovu nyuma ya kanisa la KKT geti jeusi utamkuta mlinzi wetu
leo tauwa mliani city ntkuwa na HARRIER BMD 307...For short time pale SAMAKI SAMAKI.
jioni ntakuwa msasani SHOPRITE

UUUUUUwiiiii nakufa mie kumbe nipo bonde la msimbzi au keko mafuriko yanenanisumbua
jaman achen mitandao na uongo wake

Tunaweza kutana mlimani city make nahitaji njegere....
 
Maisha ya kufake mazuri kwa muda Ila likibumbuluka utajificha kwenye uvungu wa meza,jamani usiogope kivuli chako kwani huwezi kukikimbia,be who you are.
 
Back
Top Bottom