Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Wapo ulipo lakini huwa huwatilii maanani na huwapuuza kila siku.

Wengi hawana mvuto saana kwa nje bali pale anapochojoa na kukupa mbwembwe za mtandaoni ndipo utakapo salimu amri.
 
Fake lazima iwe na ubora hafifu.....ubora wa chini kuliko halisi....
Ikiwa na ubora kuliko halisi sio feki Kaunga......
Tuite ni waongo tu.....

Mimi nawaita humble au down to earth; ingawa haibadilishi kitu zaidi ya kuwaongezea heshima.
 
Last edited by a moderator:
f&r.jpg
 
In real world the sample is small, but in the network is wide.
You get more info in the network.
 
Mitandaoni kuna uhuru wa kusema lolote bila woga

Hawa wa mitandaoni ni wema sana -
Hawawatendi wenzao ila wao tu ndio wanaotendwa-
Ni kawaida kwa mtu anayekuhadithia machungu yake kuonyesha yeye hana kosa Hawataki maisha ya fedha kwani wanadai eti hela inatafutwa- Kweli Pesa inatafutwa ,Hao unaokutana nao inaonekana ndo kawaida yao ila kuna mikoa imeendelea kwa wanawake kujiamini na kufanya maendeleo bila kutegemea vya kupewa
 
Sijui hao fake wa kujikweza mnajutananao wapi? Au ndio birds of the same .........
Mimi niliokutanana nao kwanza haata hawazungumzii material worth (nafikiri hawahitaji kuprove anything to anybody au kumuimpress yotote) na ukiwaona hadi unajiuliza umewezaje kukutana na mtu kama huyo.

Nafikiri tatizo lingine lipo kwa mtafsiri, namaanisha yule anayeanza kufikiri Eiyer yuko juu; kwanini inichukulie muda kuanza kufikiria maisha yako. Ulichoniambia mtandaoni nitakibeba, kama sio kweli it is not my problem. Ukisema waishi capripoint wakati waishi buswelu haibadilishi your own reality ambayo kiukweli inakuumiza ndio maana waionea aibu.

Danganya uwezavyo but your reality is still haunting you, sio unayemdanganya.

Word .........!!!!!!!
 
Uache nawe ufake. Eti mchina wakati una iphone 6, eti unakaa gongo lá mboto, wakati uko Orange County CA, USA.
Eiyer kuna watu kama hawa ambao ni very humble na wanaficha sifa au accomplishment zao, nao si FAKE.

Hivi kama unaishi Capri Point ni kwanini useme unaishi Igogo an vise versa?

Habari ya jumapili ya matawi bibie?
 
We all tok abt wht we thnk we deserv not wht we hav. Perfectn is a word that cand b perfct, its an illusion as it is a mere conspiracy theory. Kila mtu, mwanaume au mwanamke ukimuuliza ni mpenzi wa namna gani ambaye angependa ampate ili aridhke utashangaa majibu yao, weng watakupa sifa ambazo hta wapenz wao hawana. Illusion, imagination and effect of computerized and televized world
 
Uache nawe ufake. Eti mchina wakati una iphone 6, eti unakaa gongo lá mboto, wakati uko Orange County CA, USA.
Eiyer kuna watu kama hawa ambao ni very humble na wanaficha sifa au accomplishment zao, nao si FAKE.
Habari za masiku ndugu yangu, hahaha iphone 6 sina bwana yangu ni tecno

Humu kwenye mitandao watu wote ni wema , wana maisha bora tena unapozungmzia kununua vitumbua kwa mama naniliu yeye anasema huwa hawezi kula vitu vilivyonunuliwa mahala pa aina hiyo. Tena ukienda mbali zaidi wanasema wao hawajui kukosa. Sasa unajiuliza hawa watu wenye maisha mazuri kiasi hiki mbona mitaani hatuwaoni au labda tu vipofu. Inafaa sana kuwa wakweli kwa kiasi flani kwani kujikweza mno hakumuongezei mtu chochote sana sana aibu hasa siku mkikutana. Nasema siku mkikutana kama patakua na ulazima huo kwani huwezi jua mwaweza kutanishwa kwa namna ambayo hukuitarajia.
 
Back
Top Bottom