Sijui hao fake wa kujikweza mnajutananao wapi? Au ndio birds of the same .........
Mimi niliokutanana nao kwanza haata hawazungumzii material worth (nafikiri hawahitaji kuprove anything to anybody au kumuimpress yotote) na ukiwaona hadi unajiuliza umewezaje kukutana na mtu kama huyo.
Nafikiri tatizo lingine lipo kwa mtafsiri, namaanisha yule anayeanza kufikiri
Eiyer yuko juu; kwanini inichukulie muda kuanza kufikiria maisha yako. Ulichoniambia mtandaoni nitakibeba, kama sio kweli it is not my problem. Ukisema waishi capripoint wakati waishi buswelu haibadilishi your own reality ambayo kiukweli inakuumiza ndio maana waionea aibu.
Danganya uwezavyo but your reality is still haunting you, sio unayemdanganya.