Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Kweli kabisa mkuu

Nadhani hapa wengi wetu ni watu wa maisha ya chini na kati
Hii mambo ya kujidai kuwa una maisha bora halafu kumbe ni hovyo sio vyema

Bora mimi na Mtambuzi tunajuana kabisa kule uswazi kwetu
Siku nikipigika nakwenda kwa Mama Ngina ananipa ka ugali siku inakwenda!

kutojuana ndiyo husababisha hayo. Ukiangali jins watu wanavyoelezea maisha yao humu unaweza kudhan wote wanamaisha ya juu. Lakin kumbe tunaishi chumbakimoja cha kupanga tena cha elf20. Mtu atakwambia ninausafir wang kumbe kila siku anapanda bajaji......
 
Last edited by a moderator:
Sasa kwanini msibadilike bana?

Kama tupo wote mtaani useme tu na kama ni wa uswazi unasema tu!
We niseme natumia tecno? Unione wa kiswaz wakati nataka unione wa kishua?
tecno yangu nimeifunga na rubber band battery isianguke ila coment yangu chini imesindikizwa na maneno matamu
"sent from my ipad using jamiiforums"
 
Kweli kabisa mkuu

Nadhani hapa wengi wetu ni watu wa maisha ya chini na kati
Hii mambo ya kujidai kuwa una maisha bora halafu kumbe ni hovyo sio vyema

Bora mimi na Mtambuzi tunajuana kabisa kule uswazi kwetu
Siku nikipigika nakwenda kwa Mama Ngina ananipa ka ugali siku inakwenda!

Tuanze na zoezi dogo tu kama unajiamini uko real hufake life,kila mtu ataje real cm anayotumia,me natumia Samsung at&t sg 4G kwa wale wanazifahamu na kalumia 620 wewe je?
 
Last edited by a moderator:
Feki wapo kila mahali hata mitaani wamejaa,laa sivyo kusingekua na breakups,na hii ni kwa wote si wanawake wala wanaume ni feki tuuu kwahiyo ngoma droo
 
kutojuana ndiyo husababisha hayo. Ukiangali jins watu wanavyoelezea maisha yao humu unaweza kudhan wote wanamaisha ya juu. Lakin kumbe tunaishi chumbakimoja cha kupanga tena cha elf20. Mtu atakwambia ninausafir wang kumbe kila siku anapanda bajaji......

Mkuu tena hiyo elf 20 ni nyingi kwenye kodi ninayolipia mimi
Mi nalipa elf 15 tu na nyumba haina umeme wala maji

Na maisha yanakwenda bila tabu

Kwan nini bana?
 
We niseme natumia tecno? Unione wa kiswaz wakati nataka unione wa kishua?
tecno yangu nimeifunga na rubber band battery isianguke ila coment yangu chini imesindikizwa na maneno matamu
"sent from my ipad using jamiiforums"

Hahahahahaaaaa

Manenaaa zako ...lol!!!!!!!!
 
Ha ha ha kwenye picha ana rasta ila kama unapanga kumuona jiandae kwa yote
unaweza kukutana na bonge la kipilipili....
Husninyo hebu muondolee baba paroko hili dukuduku

Ngoja nikamuulize PM ili aniambie kabla hatujaonana

Mambo ya kuona kipara badala ya rasta mi siyataki kabisaaaa!
 
Tuanze na zoezi dogo tu kama unajiamini uko real hufake life,kila mtu ataje real cm anayotumia,me natumia Samsung at&t sg 4G kwa wale wanazifahamu na kalumia 620 wewe je?

Nokia asha 202!
 
Feki wapo kila mahali hata mitaani wamejaa,laa sivyo kusingekua na breakups,na hii ni kwa wote si wanawake wala wanaume ni feki tuuu kwahiyo ngoma droo
Ngoma droo maana yake nini?
 
Evelyn Salt, leo umeongea vizuri sana... nitafute tupate lunch pamoja..(ila ni kwa mama ntilie)
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaa

Manenaaa zako ...lol!!!!!!!!

Afu nanyie mkiona hivi vimbwembwe vya kishua mnazuzuuka
mnashinda pm kutongoza, kutuma namba zenu he he he
wanaovutiwa na watu wa mitandaoni nao ni fake tu
 
Afu nanyie mkiona hivi vimbwembwe vya kishua mnazuzuuka
mnashinda pm kutongoza, kutuma namba zenu he he he
wanaovutiwa na watu wa mitandaoni nao ni fake tu

Ukiona mtu anashinda PM kukutongoza jua huyo anataka akulambe tu

Ujue kabisa hilo

Ukijidai kupenda imekula kwako

Unajidai kulaumu wakati na nyie mmekaa kimauzo mauzo tu ...lol!
 
kutojuana ndiyo husababisha hayo. Ukiangali jins watu wanavyoelezea maisha yao humu unaweza kudhan wote wanamaisha ya juu. Lakin kumbe tunaishi chumbakimoja cha kupanga tena cha elf20. Mtu atakwambia ninausafir wang kumbe kila siku anapanda bajaji......

Unaongea bajaj wengine mwendo daladala tunagombania pale mwenge kwenda mbagala,chumba 15000 choo passport size we utanipenda nikiwa mtandaoni.
 
Back
Top Bottom