strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,312
Kweli wanawake na fikra zao za kusadikika yani wao kwenye mawazo yao huwa wanamuumba mwanaume wanae mtaka, awe handsome awe na hela awe anampiga bao za kutosha N.k, ila ukweli ni kwamba ukija kwenye maisha halisi huwa hawampati mwanaume mwenye vitu vyote wanavyotakaga!