Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Ila kufake maisha sio mpango mnzuri na wote humu tuko high classic life hakuna wa daraja la chini
ndio ujiulize hapo. Kila mtu humu mshahara wake unaanzia milion.5 kwenda juu. Biashara yake alianza na mtaji wa m20. Mm najiuliza sasa hawa wanaoshi chini ya dora moja wako wapi