Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Ndo sisi tunakutana sokoni nanunua dagaa, nyanya chungu n.k
nahemea vitumbua vya kunywea chai pale kwa bibi athumani
ila huku ntaandika natoka shopping supermarket nimenunua fillet na hapo kwenye vitumbua ntasema nimekula baga
Mupenzi anaishi nyumba ya pili kutoka hapa uswazi kwetu anazurura tu ila huku ntasema yupo nje kikazi
rahaaa utamuuuuu

Hahahahaaa

Na ukisema hivi mtu anakuchukulia kama vile mtu fulani hivi wa maisha ya kati kumbe ni wewe tunakutana uswazi kila uchao

Kazi inakuwa kubwa pale kunapotokea sababu ya mimi na wewe tunaewasiliana mtandaoni kuonana
Itabidi ukope ili ukanunue nguo za kufanana na ile hadhi yako ya mtandaoni na utaniambia tukutane kwenye vle viwanja vya bei

Baada ya kukutana na mimi unaanza kukimbizana na wanaokudai

Kaaazi kweli kweli!
 
Duh!!!! Hawa wa mitandaoni ni soo kimbia faster.

Kuna wengine utasikia mwanaume anaekupenda ni yule anae kuhonga huyo ndo mwenye mapenzi ya kweli.

Kimbia nasema tena kimbia,,mwanamke wa mtandaoni utasikia hataki kuja kwako kufua wala kupika,,ila kila kitu mhudumie.

Sio utani kimbia usisimame,,,mwanamke wa mtandaoni kujisaga anaita kujichua au punyeto.

Usiache wewe endelea kukimbia,,,Mwanamke wa mtandaoni,,,wanataka dushe kubwa punda cha mtoto,,,unasimama unayo? we kimbia

Aisee usichoke kimbia,,,mwanamke wa mtandaoni hapandi boda boda ye zake tax,,anapenda kila fashion mpya ya nguo na mwanaume utagharamia.

Ayayaaahh,,mwanamke wa mtandaoni hataki mwanaume anae mng'ang'ania we kula kisha jikatae.
 
Hata mawazo fake,stories fake but ukifuatilia uhalisia wa maisha ya kila mtu nikiwemo Mimi utachanganyikiwa,fake life.

Na hili la maisha ndio balaa tupu kabisa

Unaweza kufikiri snowhite ni booonge la tajiri kumbe tunakula nae kwa mama ntilie huku uswazi ....lol!

Na mama ntilie mwenyewe ni Ennie ...lol

Ukiwasikia hapa eti oooh mimi naenda China kufuata biashara na sijui nini kumbe ni wa uswazi tu na hata Nairobi hawajawahi kufika achilia mbali China ...lolzz!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Na hili la maisha ndio balaa tupu kabisa

Unaweza kufikiri snowhite ni booonge la tajiri kumbe tunakula nae kwa mama ntilie huku uswazi ....lol!

Na mama ntilie mwenyewe ni Ennie ...lol

Ukiwasikia hapa eti oooh mimi naenda China kufuata biashara na sijui nini kumbe ni wa uswazi tu na hata Nairobi hawajawahi kufika achilia mbali China ...lolzz!!!!!!!!

Naona unataka kujiharibia weekend tena unatumia nguvu nyingi kweli!
Ngoja nimuite colleague snowhite tukukimbize kwenye thread yako mwenyewe!!
 
Last edited by a moderator:
Mtandaoni kuna ma pretender wengi ila mtaani wako ki reality
 
Hahahahaaa

Na ukisema hivi mtu anakuchukulia kama vile mtu fulani hivi wa maisha ya kati kumbe ni wewe tunakutana uswazi kila uchao

Kazi inakuwa kubwa pale kunapotokea sababu ya mimi na wewe tunaewasiliana mtandaoni kuonana
Itabidi ukope ili ukanunue nguo za kufanana na ile hadhi yako ya mtandaoni na utaniambia tukutane kwenye vle viwanja vya bei

Baada ya kukutana na mimi unaanza kukimbizana na wanaokudai

Kaaazi kweli kweli!

Acha tu hadi simu naazima simu yenyewe hata kutoa lock siwezi
nabaki kuangalia screen saver tu, fake life linacost ha ha ha
 
Naona unataka kujiharibia weekend tena unatumia nguvu nyingi kweli!
Ngoja nimuite colleague snowhite tukukimbize kwenye thread yako mwenyewe!!

Mtasubiri sana

Mwite halafu uone kivumbi
Tena itakuwa vizuri ili nae aje aseme kama anapenda kubwa au?
 
Na hili la maisha ndio balaa tupu kabisa

Unaweza kufikiri snowhite ni booonge la tajiri kumbe tunakula nae kwa mama ntilie huku uswazi ....lol!

Na mama ntilie mwenyewe ni Ennie ...lol

Ukiwasikia hapa eti oooh mimi naenda China kufuata biashara na sijui nini kumbe ni wa uswazi tu na hata Nairobi hawajawahi kufika achilia mbali China ...lolzz!!!!!!!!

Jamani one day toshow our real life yetu,tupange tukutane kubadilishana mawazo uje kama ulivyo kitaani just kufahamiana,kama ni wale tunaokutana nao kwa mama Bhoke tujuane,najua wengi hawawezi kukubali coz tunafake life.
 
Last edited by a moderator:
Acha tu hadi simu naazima simu yenyewe hata kutoa lock siwezi
nabaki kuangalia screen saver tu, fake life linacost ha ha ha

Sasa kwanini msibadilike bana?

Kama tupo wote mtaani useme tu na kama ni wa uswazi unasema tu!
 
Jamani one day toshow our real life yetu,tupange tukutane kubadilishana mawazo uje kama ulivyo kitaani just kufahamiana,kama ni wale tunaokutana nao kwa mama Bhoke tujuane,najua wengi hawawezi kukubali coz tunafake life.

Kweli kabisa mkuu

Nadhani hapa wengi wetu ni watu wa maisha ya chini na kati
Hii mambo ya kujidai kuwa una maisha bora halafu kumbe ni hovyo sio vyema

Bora mimi na Mtambuzi tunajuana kabisa kule uswazi kwetu
Siku nikipigika nakwenda kwa Mama Ngina ananipa ka ugali siku inakwenda!
 
Last edited by a moderator:
Ndo sisi tunakutana sokoni nanunua dagaa, nyanya chungu n.k
nahemea vitumbua vya kunywea chai pale kwa bibi athumani
ila huku ntaandika natoka shopping supermarket nimenunua fillet na hapo kwenye vitumbua ntasema nimekula baga
Mupenzi anaishi nyumba ya pili kutoka hapa uswazi kwetu anazurura tu ila huku ntasema yupo nje kikazi
rahaaa utamuuuuu

umenifurahisha sana kwa ukweli huu....
 
Duh!!!! Hawa wa mitandaoni ni soo kimbia faster.

Kuna wengine utasikia mwanaume anaekupenda ni yule anae kuhonga huyo ndo mwenye mapenzi ya kweli.

Kimbia nasema tena kimbia,,mwanamke wa mtandaoni utasikia hataki kuja kwako kufua wala kupika,,ila kila kitu mhudumie.

Sio utani kimbia usisimame,,,mwanamke wa mtandaoni kujisaga anaita kujichua au punyeto.

Usiache wewe endelea kukimbia,,,Mwanamke wa mtandaoni,,,wanataka dushe kubwa punda cha mtoto,,,unasimama unayo? we kimbia

Aisee usichoke kimbia,,,mwanamke wa mtandaoni hapandi boda boda ye zake tax,,anapenda kila fashion mpya ya nguo na mwanaume utagharamia.

Ayayaaahh,,mwanamke wa mtandaoni hataki mwanaume anae mng'ang'ania we kula kisha jikatae.

Tena kimbiaaaa usigeuke nyuma.....hahhaha
 
Back
Top Bottom