Hawa wanawake wako dunia ipi?

Hawa wanawake wako dunia ipi?

Well Said Baba Paroko. Akili za hawa wa mitandaoni usipo changanya na za kwako, utaweza mtafuta Mzizi mkavu akusaidie kutafuta dawa za kuongeza ukubwa wa dushe halafu wa mtaani wakawa wanatoka nduki kila kumchao.

Hapo wamekubamba mzee wa fiksi na vile vigari vyako vidogo vidogo kadhaa.
 
Last edited by a moderator:
images


Penda sana hii makitu wewe?
Mi penda pesa six pack nawaachia arsenal...
 
Haya ya mtandaoni ndio dream za wengi ila ukija in real life huwezi kuvipata so wanamalizia stress zao mtandaoni au kuwatch hayo masoap
 
Kama akina Ennie wanajidai wako Dar kumbe wako Kigoma!

ha ha ha ha uwiiii chezea mtandao
Excel yupo BOT yeye pesa sio tatizo anamiliki show room kumbe yupo mbeya mbarali analima zake mpunga kumbe tunapishana kila siku
 
Last edited by a moderator:
Haya ya mtandaoni ndio dream za wengi ila ukija in real life huwezi kuvipata so wanamalizia stress zao mtandaoni au kuwatch hayo masoap

Hivi na wewe ni bibi kweli?
 
Hahahahaaa
Ndo kakudanganya hivyo?

Niulize mimi
Huyo anakaa Nyakato tena ya karibu na Nyanguruguru!
Alikuwa jirani yangu pale kapripoint kabla mi sijahamishia business zangu daslam...
nilikuwa nakaa kwenye lile gorofa jeupe lenye garden love si unalijua?
 
ha ha ha ha uwiiii chezea mtandao
Excel yupo BOT yeye pesa sio tatizo anamiliki show room kumbe yupo mbeya mbarali analima zake mpunga kumbe tunapishana kila siku

Hahahahaaaa!
We acha tu

Unaambiwa mtu yupo china lakini akikupigia simu inaanza na +255 sijui ni china gani hiyo!
 
ndio ujiulize hapo. Kila mtu humu mshahara wake unaanzia milion.5 kwenda juu. Biashara yake alianza na mtaji wa m20. Mm najiuliza sasa hawa wanaoshi chini ya dora moja wako wapi

Hakuna kitu kama hicho mtandaoni ni sifa za kijinga zimejaaa
 
ha ha ha ha uwiiii chezea mtandao
Excel yupo BOT yeye pesa sio tatizo anamiliki show room kumbe yupo mbeya mbarali analima zake mpunga kumbe tunapishana kila siku

Kumbe ndivyo walivyo eeehh..!!

Bora me niko zangu UK,,,kidogo huku mambo nitofauti ufake sio sanaaa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa jirani yangu pale kapripoint kabla mi sijahamishia business zangu daslam...
nilikuwa nakaa kwenye lile gorofa jeupe lenye garden love si unalijua?

Acha zako wewe
Huko daslam kwenye mabugando mengi hujawahi kufika kabisa

Na huyo mwenzako nae yuko kwao nilikokuambia analima mihogo!
 
Back
Top Bottom