GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Inategemea wengine pesa wanazisimamia tu wala siyo zao ndiyo maana wanalazimisha umaalufu huku wakilazimisha watu waone wanachokifanya lkn ukweli kwamba ni walaghai wakutupwa
Bahasha kaka,GSM alisimamia ile show yoteJana nilitegemea waandishi wa habar wangegomea press ya Haji kwa jinsi alivyokuwa anawadhalilisha siku za nyuma, waaandishi wetu hawajielew
Mondi si ndiyo wale wale Tandale Kwa mtogoleHii hata Diamond mwenyewe amefanya makosa makubwa kibiashala sababu ilikuwa haina haja ya kumwambia Manara hilo ikiwa aliyekulipa hela ndio nakwambia
Tayari, una lingine la ziada?
Tayari, una lingine la zaidi?Kakojoe ulale
6 bila mkataba?Kuna hoja kwa manara?
Mtu anayelilia kutajwa kwenye nyimbo, kwa manufaa gani hasa?
Kutofanyiwa booking? Asa team inasafiri msemaji wa nini? Watu wanapunguza matumizi yasiyo ya lazima asee.