GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,790
Kauli za Waandishi wa Habari Haji Manara alipokuwa Msemaji wa Simba SC
"Haji Manara ajirekebishe kwani tumeshamchoka na Vitendo vyake vya Kutudhalilisha huku akituita baadhi yetu ni Takataka. Kwanini Simba SC inamlea vibaya hivi huku akihatarisha Uhusiano wao na Sisi Wadau wao wakubwa wa Habari? Hiki Kiburi Haji Manara anakitoa wapi? Manara ni zaidi ya Simba SC? Kiukweli Simba SC isipomchukulia hatua Sisi Waandishi wa Habari tutaacha Kuandika Habari zao"
Kauli za Waandishi wa Habari Haji Manara 'alipotumbuliwa' rasmi Simba SC kama Msemaji
"Hakuna Mwanaume wa Shoka kama Manara. Kiukweli Simba SC wamemuonea mno tu na kwa Kipindi kirefu hivyo acha tu awanyooshe. Haji Manara aliishi vyema sana na Sisi Wanahabari na tulimkubali sana kwakuwa alikuwa akiuchangamsha Mpira wetu na hata Vipindi vyetu vya Michezo. Haji Manara alikuwa bado anahitajika mno Simba SC na Simba SC kuachana nae wamefanya Kosa kubwa na wataporomoka Kiumaarufu"
Pale GENTAMYCINE nikiwa 'nawadharau' Waandishi wa Habari wengi (siyo Wote) wa Tanzania muwe mnanielewa tafadhali, na sishangai ndiyo maana Media ninazoziheshimu kwakuwa zinajitambua Kiuweledi na Kimaadili ni za Kenya, Uganda, Rwanda, South Africa, Zimbabwe, Ghana, Egypt, Israel, Al Jazeera, BBC, CNN, Russia Today, CGTN na Sky News pekee.
"Haji Manara ajirekebishe kwani tumeshamchoka na Vitendo vyake vya Kutudhalilisha huku akituita baadhi yetu ni Takataka. Kwanini Simba SC inamlea vibaya hivi huku akihatarisha Uhusiano wao na Sisi Wadau wao wakubwa wa Habari? Hiki Kiburi Haji Manara anakitoa wapi? Manara ni zaidi ya Simba SC? Kiukweli Simba SC isipomchukulia hatua Sisi Waandishi wa Habari tutaacha Kuandika Habari zao"
Kauli za Waandishi wa Habari Haji Manara 'alipotumbuliwa' rasmi Simba SC kama Msemaji
"Hakuna Mwanaume wa Shoka kama Manara. Kiukweli Simba SC wamemuonea mno tu na kwa Kipindi kirefu hivyo acha tu awanyooshe. Haji Manara aliishi vyema sana na Sisi Wanahabari na tulimkubali sana kwakuwa alikuwa akiuchangamsha Mpira wetu na hata Vipindi vyetu vya Michezo. Haji Manara alikuwa bado anahitajika mno Simba SC na Simba SC kuachana nae wamefanya Kosa kubwa na wataporomoka Kiumaarufu"
Pale GENTAMYCINE nikiwa 'nawadharau' Waandishi wa Habari wengi (siyo Wote) wa Tanzania muwe mnanielewa tafadhali, na sishangai ndiyo maana Media ninazoziheshimu kwakuwa zinajitambua Kiuweledi na Kimaadili ni za Kenya, Uganda, Rwanda, South Africa, Zimbabwe, Ghana, Egypt, Israel, Al Jazeera, BBC, CNN, Russia Today, CGTN na Sky News pekee.