machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,336
- 5,323
nakazia jellyfish asilimia 98 ni maji ukimueka kwenye jua ana evaporateJelly fish yeye ndie kiumbe asie akili maana hana ubongo pia hana moyo wala macho hapa Duniani lakini ameweza kuishi Duniani kwa miaka zaidi ya milion 6000.
Hii itakuwa habari nzuri kwa wale vichwa maji wa humu JF. [emoji23] View attachment 804082View attachment 804083