Hawa ndio wanyama 10 wenye akili duniani

Hawa ndio wanyama 10 wenye akili duniani

Du kama nguruwe ana akili basi huu utafiti inabidi urudiwe na twaweza.
-Nguruwe anakula Kinyesi chako,Nguruwe akiwa na njaa akula hadi wanae,nguruwe aachi kitu chochote kilichopo mbele yake,yeye twende,takataka zote yeye anakula,weka funza,weka kinyesi,weka gogo lililooza,weka udongo yeye twende tu.
Cha ajabu na yeye anakuona hivyo hivyo...ugali twende, wali twende, nyama, mbogamboga...hawa binadamu wana akili kweli!! haha sasa sijui utathibitisha aje kwamba tumkubali nani
 
Mbona mmekomalia "flani nae ni mnyama" badala ya kuongezea mnayoyajua...kazi ni kunotice mapungufu tu ya mtoa mada...wabongo bwana
 
Mchwa nae ni Mnyama?
Rejea Kingdom "animalia" tupo nao pamoja tunakuja kutofautiana kuanzia kwenye pylum au wewe unatafsiri wanyama kuwa ni wale wanaoliwa maana kwenye samaki na pweza hukushangaa unashangaa kwenye mchwa
 
Hapana mine quote kwenye mnyama au ndege
Ok nilisema hivyo kulingana na swali lililokua limeulizwa lakini as long as kiumbe kimetoka kwenye kingdom animalia mimi nilikiterm kama mnyama, hapo ukiangalia hata huyo ndege na popo wanatoka kwenye kingdom animalia thats why nilisema ni wanyama.
 
Ok nilisema hivyo kulingana na swali lililokua limeulizwa lakini as long as kiumbe kimetoka kwenye kingdom animalia mimi nilikiterm kama mnyama, hapo ukiangalia hata huyo ndege na popo wanatoka kwenye kingdom animalia thats why nilisema ni wanyama.
Haha amna shida mkuu yaani izi classification zinayumbisha ata ukiwa mtaalamu especially unapomjibu mtu hoja
 
Eagle yukwapi mzee? Alafu hiyo no 7 toa..si ndiyo hayo yanayotoa funza!!
 
Mfalme simba hayupo mleta Uzi nakata rufaa

Ova
 
Ant.jpg

Huyu naye ni mnyama?!!!
 
Back
Top Bottom