Hawa ndio wanyama 10 wenye akili duniani

Hawa ndio wanyama 10 wenye akili duniani

Inawezekana wana akili zaidi yetu ila inategemea tumewapima akili kutokea angle gani
 
Miaka milioni 6000 imefika na kuisha lini? Duh
Unafikiri viumbe hai vimeanza kuwepo baada ya Kristu hii miaka 2000 unayoiona kwenye Kaenda?

Anyways, kunguru (raven) anashikilia namba moja according to recent scientific studies.
 
Vip kuhusu tai Mkuu, nae nasikia ana akili kwel, ila sijamuona kwenye list
 
Crow.jpg

Hapa bora mngesema mbayuwayu, huyu kunguru wa Zanzibar hajui hata kujenga kiota, lakini mbayuwayu anajenga kiota kwa tope na kokoto halafu kwa kipimo na wala hakibomoki
 
Pweza ana akili kwenye kichwa cha chini tu .... Ndo maana ukinywa mchuzi wake akili zinahamia kichwa cha chini pia
 
Back
Top Bottom