Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,828
- 1,662
Mkuu kwenye hii video
Play 1:43
Huyu ndege naye ana akili sana ila sijamuona kwenye list
Play 1:43
Huyu ndege naye ana akili sana ila sijamuona kwenye list
Haaaahaaaaa. Fisimaji ni seal.Na pomboo ni dolphin.Mkuu asante kwa uzi mzuri. Ila majina ya Kiswahili sio ya mchezo , Bora ungeweka na kiingereza kwenye mabano kidogo maana huyo Fisi maji na huyo Pomboo kweli sijawahi kusikia hilo jina.
Kiswahili ni lugha mufilisi. Kuna tofauti kati ya animal na mamal yani mnyama na mamalia. Ndege, wadudu, reptilia, na mamals wengine huitwa wanyama COLLECTIVELY pale inapibidi kuwatofautisha na binadam.Mchwa nae ni Mnyama?
Mbona Fisi Maji Lipo Kwenye Kiswahili? Tena Kwenye Majina AmbatanoMkuu asante kwa uzi mzuri. Ila majina ya Kiswahili sio ya mchezo , Bora ungeweka na kiingereza kwenye mabano kidogo maana huyo Fisi maji na huyo Pomboo kweli sijawahi kusikia hilo jina.
Wapo mkuu, ndio majina yao, fisi maji mkorofi kama hayati faru jon, yeye hata jiwe au gogo anapandilia tu na ndio maana ziwa victoria wanawindwa sana kwani nyama ya fisi maji ni kama unakula viagra,Mkuu asante kwa uzi mzuri. Ila majina ya Kiswahili sio ya mchezo , Bora ungeweka na kiingereza kwenye mabano kidogo maana huyo Fisi maji na huyo Pomboo kweli sijawahi kusikia hilo jina.
Viumbe hai viko vya aina mbili, wanyama na mimea kama mchwa siyo mnyama ni mmea?Mchwa nae ni Mnyama?
Huyo tuna mwita Pweko kwa sisi watu wa visiwani pia anauwa huyoJelly fish yeye ndie kiumbe asie akili maana hana ubongo pia hana moyo wala macho hapa Duniani lakini ameweza kuishi Duniani kwa miaka zaidi ya milion 6000.
Hii itakuwa habari nzuri kwa wale vichwa maji wa humu JF. [emoji23] View attachment 804082View attachment 804083
Ndiyo maana ni muhimu sana kwa afya yako! Ukitafuna kilo moja kwa wiki hutajuta mkuuDu kama nguruwe ana akili basi huu utafiti inabidi urudiwe na twaweza.
-Nguruwe anakula Kinyesi chako,Nguruwe akiwa na njaa akula hadi wanae,nguruwe aachi kitu chochote kilichopo mbele yake,yeye twende,takataka zote yeye anakula,weka funza,weka kinyesi,weka gogo lililooza,weka udongo yeye twende tu.
Anauaje mkuu?Huyo tuna mwita Pweko kwa sisi watu wa visiwani pia anauwa huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]bora ya Jelly fish tunajua kbsa hana ubongo kuliko yule bwana ana ubongo lakn akili n sawa na za jelly fish.
Duuuh kwahiyo anakula hadi misumali, kokoto, chuma?Du kama nguruwe ana akili basi huu utafiti inabidi urudiwe na twaweza.
-Nguruwe anakula Kinyesi chako,Nguruwe akiwa na njaa akula hadi wanae,nguruwe aachi kitu chochote kilichopo mbele yake,yeye twende,takataka zote yeye anakula,weka funza,weka kinyesi,weka gogo lililooza,weka udongo yeye twende tu.
Hapana, ni mmea.Mchwa nae ni Mnyama?