Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,056
huu uzi hujautendea haki haki, laiti kama hao wanyama wangejua kusoma na wakiona ulichoandika wangekuwekea kikao kwa wale uliowaacha
Umenikuna kwa majibu yako murua
na mimi lazima nimnunue ili wife akija na mchepuko nipate udaku woteSijaona KASUKU hasa yule GREY HEADED PAROT
Ninaye hapa nyumbani na hunipa taarifs zote
we unadhani mbwa ni nini?Mchwa nae ni Mnyama?
Jelly fish yeye ndie kiumbe asie akili maana hana ubongo pia hana moyo wala macho hapa Duniani lakini ameweza kuishi Duniani kwa miaka zaidi ya milion 6000.
Hii itakuwa habari nzuri kwa wale vichwa maji wa humu JF. [emoji23] View attachment 804082View attachment 804083
Elimu nzuri sana hii, ila nashindwa kui relate na yanayosemwa mtaani eti nyama ya kitimoto ndio the Best !Ngoja nikuibie siri moja ya utamu wa nyama mkuu.
Unajua nyama inakuwa tamu kulingana na kiasi cha glucose (sugar) mwilini mwake na viumbe wengi wanaopaa wanatumia kiasi kikubwa sana cha glucose ili wawe na energy hivyo ni viumbe wengi wenye asili ya ndege warukao wana glucose nyingi sana mwilini na ni watamu sana sababu ya kiasi kikubwa cha sugar content ndani ya miili yao.
Ndio maana njiwa, kunguru, kuku ni wanoni kuliko ng'ombe n.k
Mmoja wa wanyama wenye akili nyingi, hupenda kucheza na kushirikiana na viumbe wengine, wana uwezo mkubwa wa utambuzi kuliko mbwa, huenda kuishi pamoja, ana uwezo wa kurejea nyumbani hata akiwa mbali, hutambua sauti za viumbe wengine kiurahisi.![]()
wewe ndo unajifunua ulivyo zwazwa, kasema kwa upande wa binadamu, sokwe ni wa pili, ila kwa wanyama kama wanyama, tembo ni wa kwanza.Tembo wana akili kubwa kuliko mnyama yeyote wa ardhi kavu.
Sokwe ni viumbe wa pili kwa kuwa na akili zaidi baada ya binadamu
Hapo sijakuelewa sasa tembo na sokwe nan zaid ikumbukwe sokwe ni wa ardhin