joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,819
Mchwa katika ubora wake
Kama wameanza kuturushia mawe soon wataanza kutumia bundukiKwahiyo kitimoto anamzidi akili nyau?
Halafu hao kunguru wanarushaje hayo mawe hadi wamdunde mlengwa?
Wote ni wanyama..binadamu, kunguru na mchawaKunguru naye mnyama
Mchawa naye vp?
Kwahyo binadamu siyo mnyama?
Sikuamini tena.
Kwahyo jibu lako na maelezo yako unaona yapo sahihi?Wote ni wanyama..binadamu, kunguru na mchawa
Kwa maelezo na majibu yaliyotolewa kwenye post za nyuma ni kwamba kibayolojia mnyama ni kiumbe yoyote anayepatikana kwenye kingdom animalia, sasa binadamu, kunguru na mchawa, wote hao wapo kwenye hiyo kingdom animalia, kwahiyo wote ni wanyama.Kwahyo jibu lako na maelezo yako unaona yapo sahihi?
Inawezekana haujanielewa na uelewi unachotetea, ni hvi maelezo yako yanasema kunguru ni ndege, kichwa cha habari kinasema wanyama.... Inawezekana haujui unachotetea pia kama unaniambia animalia kumuweka kunguru, pia umedai wanyama wenye akili ningefurahi kama namba 1,2,3...10 ningemuona binadamu, ila inawezekana na wewe si mnyama sijui nikuweke kundi gani?Kwa maelezo na majibu yaliyotolewa kwenye post za nyuma ni kwamba kibayolojia mnyama ni kiumbe yoyote anayepatikana kwenye kingdom animalia, sasa binadamu, kunguru na mchawa, wote hao wapo kwenye hiyo kingdom animalia, kwahiyo wote ni wanyama.
I hope utakua unenielewa mkuu.
Mleta mada Kasema baada ya binadamu, mbona wabongo wagumu kuelewa!!?Binadamu hayupo!!?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unamjibu jellyfish wa jf au....Mkuu, umri wa dunia ni miaka bilioni kadhaa, umri wa "maisha" hapa duniani ni mamilioni mengi sana ya miaka, hivyo, japokuwa sina hakika na idadi ya miaka ya kuishi kwa hao viumbe kama alivyotanabaisha mdau hapo juu, nakuhakikishia uwezekano wa kuishi miaka hiyo upo maana maisha yamekuwapo kwa miaka mingi sana.
Hii unaambiwa huu ni mwaka 2018, ni mfumo tu wa kuhesabu miaka kikalenda lakini ukweli ni kwamba kumekuwapo na maisha kwa miaka mingi sana zaidi ya ''hutu tumiaka buku mbili"
Nasikia huyu kiumbe ni hatari sanaJelly fish yeye ndie kiumbe asie akili maana hana ubongo pia hana moyo wala macho hapa Duniani lakini ameweza kuishi Duniani kwa miaka zaidi ya milion 6000.
Hii itakuwa habari nzuri kwa wale vichwa maji wa humu JF. [emoji23] View attachment 804082View attachment 804083
Atakuja kukuua kwa presha.... Nadhani umenielewa!!Sijaona KASUKU hasa yule GREY HEADED PAROT
Ninaye hapa nyumbani na hunipa taarifs zote
Sumu yake ni deadly sana mkuu. Mungu hakunyimi vyote.Nasikia huyu kiumbe ni hatari sana
Analiwa?Huyo tuna mwita Pweko kwa sisi watu wa visiwani pia anauwa huyo
Mkuu kasome upya classification kama hata hujui kama popo ni mnyama au ndege.Inawezekana haujanielewa na uelewi unachotetea, ni hvi maelezo yako yanasema kunguru ni ndege, kichwa cha habari kinasema wanyama.... Inawezekana haujui unachotetea pia kama unaniambia animalia kumuweka kunguru, pia umedai wanyama wenye akili ningefurahi kama namba 1,2,3...10 ningemuona binadamu, ila inawezekana na wewe si mnyama sijui nikuweke kundi gani?
Animalia ni kunguru, sasa ntapata wapi jibu la popo kutojumuisha ingawa hatujui kuwa ni ndge au mnyama.
Nawasilisha.
Duh.. Baharini ndio kunaongoza kuwa na viumbe wa ajabuSumu yake ni deadly sana mkuu. Mungu hakunyimi vyote.
Ndio sababu kaweza kusurvive for millions of years licha ya kutokuwa na akili, moyo wa damu.
Anaweza sana kujilinda...hakuna kiumbe wa majini anaeweza kuthubutu kumchezea.
Its deadly!
Sana! Kuna kiumbe mwingine ana umeme..yaani anapiga shoti fresh tu kama gridi ya taifa vile. [emoji23]Duh.. Baharini ndio kunaongoza kuwa na viumbe wa ajabu
Hah haaa haaaaMchwa nae ni Mnyama?