- Thread starter
- #161
kumbe, mmenitumia kama mndoco halafu mnanitupa kule! sawa ngoja tuone!
nakuja saivi tuu
kumbe, mmenitumia kama mndoco halafu mnanitupa kule! sawa ngoja tuone!
kuitana chambers tena.....
Noooooooooo! I guess ill pass! Im keeping my options open
tuone zaidi ya hapa!!!!!
Kaizer! kwa taarifa za uhakika hawajamalizana! na hv mm TheDealer nilihaidiwa hela km nikiunganisha uhusiano wa Eli79 na Heaven on earth! plz mkuu waambie wanipe haki yangu, maana naona hata sasa hv wananijibu jeuri!mbona sijapata taarifa home kuwa soon utakuwa mwanafamilia au ndo mnafinalise,,
na pia wale wachumba wengine mmemalizana salama.... UNDENIABLE, TheDealer
mbona sijapata taarifa home kuwa soon utakuwa mwanafamilia au ndo mnafinalise,,
na pia wale wachumba wengine mmemalizana salama.... UNDENIABLE, TheDealer
Ila kweli, umenipatia vizuri sana! hata nikiongea naangalia chini, unaweza kunisaidia nijiamini! msaada plz!
kujiamini hakuji overnight! mchakato unachukua muda!
wewe Heaven on earth kuja eneo hili ujibu hizi tuhuma... sitaki unipe maradhi ya moyo mie!
hapa chini ndicho nilichokuambia, wewe ukajibu kama hapa juu.
sasa hapa kwenye hii quotetation ya mwisho unataka kuniambia nini??
mbona sijapata taarifa home kuwa soon utakuwa mwanafamilia au ndo mnafinalise,,
na pia wale wachumba wengine mmemalizana salama.... UNDENIABLE, TheDealer
hahahahaha hapa uharibifu wangu siyo wakumtaka ila nikumwambia ukweli juu ya Heaven on earth[/QUOTE kiwatengu nakujua wewe ni joka la mdimu kwamba kwann ale Eli79??
uko mtini japo ndimu huli lkn hutaki na mwenzio ale
acha vibaya hivyo wewe!!
Na bado mbona utajibeba mwaka huu! ongea vizuri na Kaizer, kakako anajua mengi wewe huyajui! wewe paramia tu!
Unakumbuka pale kiwatengu kakuambiaje, halafu ukampuuza sasa kakako kaja kukuambia, nae utampuuza?!
Shauri yako!
cc Heaven on earth
wewe Heaven on earth kuja eneo hili ujibu hizi tuhuma... sitaki unipe maradhi ya moyo mie!
hahahahaha hapa uharibifu wangu siyo wakumtaka ila nikumwambia ukweli juu ya Heaven on earth
hahahahaha hapa uharibifu wangu siyo wakumtaka ila nikumwambia ukweli juu ya Heaven on earth[/QUOTE kiwatengu nakujua wewe ni joka la mdimu kwamba kwann ale Eli79??
uko mtini japo ndimu huli lkn hutaki na mwenzio ale
acha vibaya hivyo wewe!!
ongea vizuri sasa, wewe unafurahia jinsi nilivyotumika halafu nikatupwa kule!
Eli79 mtoto wa kiume, unaingia mtegoni kwa maneno haya hapa!babe,nimepitia huko mie,nayajua maradhi ya moyo......
kwa hiyo siwezi kukupa........
hiyo ilikuwa past,sa hivi am looking forwad
towards my future with you Eli79
hahahahaha hapa uharibifu wangu siyo wakumtaka ila nikumwambia ukweli juu ya Heaven on earth