Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,331
- 4,956
Ok!
ila shemu kubwa nilikuwa najua masikhara ndio maana nilikuwa nadondosha moyo tu kwa kila apitaye! kumbe ipo serious to some extent!
wasiwasi!
naweza kupata mchumba seroius huku halafu siku tukizinguana anaweza kusema, aaaaah usinizingue babu wee kwanza tulikutana chit chat tuachane ki-chit chat! hapo sasa kazi inakuwa kubwa sana!
hujiamini kabsaaaaa wewe!