Hawa ndio wageni wa CC!

Hawa ndio wageni wa CC!

usijali ma wiii haya Eli79 aliyasema kabla hajakupata wewe. ila sasa kesha dondoka kwako kwa mtoto mashallah, black beauty, shingo kama ya twiga mtoto soft hujui ma karolaiti wala ma krimu, mtoto laaniiiiiiiii utafikiri umetengenezewa udongo uliolowana..................softtttttttttttttttttt kama mto wa home shopping centre.

wallah Eli79 atafaidi autamu haya mweeeh!! kazi kwako TheDealer na kiwatengu

kwani namtaka? au sijakuelewa hapa
 
nilikuonya hukusikia..na sasa unamtaja mimisa kuna jeshi la ulinzi..moyo wako utadondoshwa chini kabisa shauri yako
nini tena kiwatengu, juzi umenipa kipigo hadi nikazirai na ukanihurumia mwenyewe na kunipa tiba sasa na leo unakuja tena, nini bhana why me always?????? jamani hv mm sina haki ya kuishi huku CC, sasa unataka kunipiga tena? aaarrrrgggggg! bora mimisa tu angepokea moyo wangu najua haya mateso ya kufukuzwa na mgambo wa CC yasingekuwepo kabisaaa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom