mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
nakuja saivi tuu
ushanisahau tena kwa kule nakusubiria...
ushanisahau tena kwa kule nakusubiria...
4-1-9-stand! hii ni fomesheni inayotumika kwenye ligi kuu ya uingereza, inaitwa EPL! hofu ondoa!
kwani namtaka? au sijakuelewa hapa
sijasema unamtaka bestito ila tu nimesema leo lazima ulilie wivu..........
sista gfsonwin (of course pamoja na wengine) hivi Nyumbwa Kubwa amepotelewa wapi? nimemisi comments zake aisee
kwa kweli hata mi i binafsi sijui kapotelea wapi.
lakin kwakua alikuwa ni mwanachuo ngazi ya uzamivu basi yawezekana kabanwa sana. tumwombee Mungu amrudishe tena jamvini.
BTW nimeipenda sana sign yako
Usijaribu manake utaangukia pua! hamna anaeweza kuharibu, tunapendana saana tu.hata mimi nayaaribu muda si mrefu....unarukia hata kama umekubaliwa
Nasema hata mimi naharibu...
hapa chini ndicho nilichokuambia, wewe ukajibu kama hapa juu.hahahaha siyo rahisi sana..ujue mi mgumu sana ati...
sijasema unamtaka bestito ila tu nimesema leo lazima ulilie wivu..........
hata mimi nayaaribu muda si mrefu....unarukia hata kama umekubaliwa
Nasema hata mimi naharibu...
Thanks sista
Usijaribu manake utaangukia pua! hamna anaeweza kuharibu, tunapendana saana tu.