Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

mi mtu mzima wifi hanipati kwa matusi ya kitoto.....hapa nacheka tu sema sipendi mtu amguse kaka yangu The Finest.....sipendi.....:hand:

gud gal,ndo maana nimeridhia kwa kaka🙂 ila huyu kaka yako ni mnoko sana hope hutamsikiliza sana,,lol
 
kaka jitahd na wewe uweze kuwafikia hawa kama walivyo wao yan ukisema jamii bila hawa ujue dah! Hyo co jamii forum yan lazma wawepo hawa member ya fleeesh
 
gud gal,ndo maana nimeridhia kwa kaka🙂 ila huyu kaka yako ni mnoko sana hope hutamsikiliza sana,,lol

na mimi hiyo wisdom yako ndo imenifanya nimpende kaka yako hata kabla ya kumuona.....huyu kaka TF akimjua kaka yako atatulia tu....ni ule woga wa wakaka nisijeumizwa tena...l.o.l
 
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

Kakudo yaani kuchangia kote kule kwenye handbags za wanawake ni kazi bure?
 
gud gal,ndo maana nimeridhia kwa kaka🙂 ila huyu kaka yako ni mnoko sana hope hutamsikiliza sana,,lol
Weeee unataka kumchukua bila kunifahamisha aisee tena kwa Michelle mimi ni mnoko kupita maelezo
 
Kwani lengo ni kufikisha page ngapi au post ngapi ili aridhike? Ngoja niwahi foleni ntafuatilia huko
 
01-laughing-cat.jpg
 
Kakudo yaani kuchangia kote kule kwenye handbags za wanawake ni kazi bure?

ni bure,anataka avunje record ya kuweka post iliyochangiwa sana na sisi tutamsaidia kufanikisha lengo.....
 
Hivi Via Mobile katokea wapi mbona anashambulia hivyo wapendwa wetu?? Mbona huko nyuma tulikuwa tunachangia nae mada vizuri tu, iweje leo kawa mbogo hivi?
 
Aiseee!!! Omega Psi Phi habari yako banaa kheee kheeee kheeee watu wanapenda kutumia ID tatu tatu
 
na mimi hiyo wisdom yako ndo imenifanya nimpende kaka yako hata kabla ya kumuona.....huyu kaka TF akimjua kaka yako atatulia tu....ni ule woga wa wakaka nisijeumizwa tena...l.o.l

kaka fainest asubiri mahari,,wifi usijali mwenyewe utafurahi lyk sisy lyk bro,,,,kunakuumizwa hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom