Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Imeshatokea, au yaweza kukutokea wewe wakati unajifungua.
YO-YO avator yako ya pink bra na jina YO YO is very disturbing...pole kaka.
Imeshatokea, au yaweza kukutokea wewe wakati unajifungua.
Mbegu gani hizo ambazo hazisafishwi na fluidi hiyo.....au ina maana mama hajiswafi na baba anamwaga ndoo nzima ya manii?Hivyo kama mama alikuwa na mabaki ya mbegu wakati anajifungua, na hayakuoshwa na omniotic fluid [/B]bai mtoto atayachukua wakati anatoka. Imeshatokea, au yaweza kukutokea wewe wakati unajifungua.
Poa poaYO-YO avator yako ya pink bra na jina YO YO is very disturbing...pole kaka.
Duu! Mzee umeanzia mbali, kwa mbuzi na ng'ome?..vipi FUNGWE kwa wanyama inakuwaje na wao wakiwa wajawazito unapata raha maradufu?..
Mfano aliotoa wa wanyama kuvimba nyeti (gential organs) zao wakati wa mimba hauna neno. Hata hivyo, swali lako haliwatendei haki wanyama uliowataja. Naomba kueleza kwamba, kwa wanyama wengi hasa wasio jamii ya binadamu na sokwe (non-primates), ngono inafanyika wakati wakiwa kwenye joto tu. Hawafanyi ngono kwa ajili ya starehe (i.e they don't do sex for leisure or pleasure!!!). Kwao ngono ni kwa ajili ya kuzaa tu (sex is for reproduction and nothing else). Kwa hiyo hilo la kuuliza kama ngono ni tamu kwao wakati wa mimba au la halipo. Wanyama wote uliowataja hawawezi kufanya ngono bila kuwa kwenye joto. Kama huamini mpelekee ng'ombe wako dume wakati hayuko kwenye joto uone. Hilo dume litakurudi wewe mwenyewe!!!
Nimekusoma Mama...
Chakushangaza njemba zote zilizochangia hapa zinahisia sawasawa, raha maradufu...
Mianaume ndivyo tulivyo.
Sasa je au ulitaka tutoke tukatafute wa nje?Ndoa tamu bwana.
Mfano aliotoa wa wanyama kuvimba nyeti (gential organs) zao wakati wa mimba hauna neno. Hata hivyo, swali lako haliwatendei haki wanyama uliowataja. Naomba kueleza kwamba, kwa wanyama wengi hasa wasio jamii ya binadamu na sokwe (non-primates), ngono inafanyika wakati wakiwa kwenye joto tu. Hawafanyi ngono kwa ajili ya starehe (i.e they don't do sex for leisure or pleasure!!!). Kwao ngono ni kwa ajili ya kuzaa tu (sex is for reproduction and nothing else). Kwa hiyo hilo la kuuliza kama ngono ni tamu kwao wakati wa mimba au la halipo. Wanyama wote uliowataja hawawezi kufanya ngono bila kuwa kwenye joto. Kama huamini mpelekee ng'ombe wako dume wakati hayuko kwenye joto uone. Hilo dume litakurudi wewe mwenyewe!!!
SAFI SANA INATOA PIPMLES ZOTE ,NDIO MAAANA WAMAMA WAMEAMUA KUPAKA SHAWA BADALA YA CREAM SIKUHIZI
Hii furaha sijui inatoka wapi, fikiria mtoto wako akiwa na makapi ya mbegu zako za kiume juu ya paji lake la uso...just picture it out mwone yuko mbele ya uso wako na mbegu zako juu ya utosi wake ....i would rather NOT do it mwezi wa mwisho.
Tuliwahi kufanya mchana na akashikwa na uchungu usiku,alizaa baada ya saa moja tangu aanze kusikia uchungu,Mi naona inasaidia kuzaa haraka.Na sio kwamba tunafanya kila wakati lakini wakati huu ni wa kuwa karibu sana na mkeo,kumkanda,kumkumbatia,kutomuudhi na kusaidia kazi nyumbani.Rudi nyumbani mapema,mpigie simu kila wakati na mwonyeshe kuwa yeye ndio kila kitu maishani mwako.
Tuliwahi kufanya mchana na akashikwa na uchungu usiku,alizaa baada ya saa moja tangu aanze kusikia uchungu,Mi naona inasaidia kuzaa haraka.Na sio kwamba tunafanya kila wakati lakini wakati huu ni wa kuwa karibu sana na mkeo,kumkanda,kumkumbatia,kutomuudhi na kusaidia kazi nyumbani.Rudi nyumbani mapema,mpigie simu kila wakati na mwonyeshe kuwa yeye ndio kila kitu maishani mwako.
Kama hana tatizo lolote la kiafya na mtoto naye hana tatizo lolote ni mbel kwa mbele mpaka siku atakapojisikia uchungu hakuna shida kabisa