Having sex with a pregnant woman: What time (month) in her pregnancy I have to stop?

Kama mtoto aliyeko tumboni ni she ukifanya hiyo kitu,utakuwa umetembea na mwanao.na kama mtoto ni He utakuwa umemla nyuma mwanao.
 
Kama mtoto aliyeko tumboni ni she ukifanya hiyo kitu,utakuwa umetembea na mwanao.na kama mtoto ni He utakuwa umemla nyuma mwanao.
<br />
<br />
daah?bora ungekausha sasa huu ndo ushauri au utani au ujinga ,umesomea wapi hii sayansi
 
Kama mtoto aliyeko tumboni ni she ukifanya hiyo kitu,utakuwa umetembea na mwanao.na kama mtoto ni He utakuwa umemla nyuma mwanao.

Join Date : 20th July 2011
Posts : 34



Sijashangaa sana baada ya kuona comment yako na kusema upupu ulioandika,karibu sana jukwaani....
 
Kutokana na makala moja niliyosikiliza BBC siku moja kama mwanamke hasikii maumivu yoyote wakati wa tendo anawezakushirika kwa siku zote mpaka mama kujifungua pasipo na madhara yoyote kwa mama wala mtoto
 
Kuna mimba zinasababishaga mwanamke akuchukie tu bila sababu. Sasa usiombe mimba ya wife ikuchukie! Hata gemu unaweza kosa, yani ni hadi azae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom